Keren_Happuch
JF-Expert Member
- Jan 14, 2011
- 1,874
- 935
Thank God bado upo nilikumiss Sana..., mzima lakini..., naona smile yako bado ina ifanya JF kuwa more bright than ever...
Karibu sana VoR, for sure I missed you big! Happy to see you..
Thank God bado upo nilikumiss Sana..., mzima lakini..., naona smile yako bado ina ifanya JF kuwa more bright than ever...
Not as happy as me to see you....., Nashukuru Mungu wote niliowaacha bado mpo kama zamani, Asante Sana Keren..Karibu sana VoR, for sure I missed you big! Happy to see you..
Asante sana Rafiki. Ila usitoroke bana sku ingine kwa muda mrefu hivyo...Ubarikiwe.Not as happy as me to see you....., Nashukuru Mungu wote niliowaacha bado mpo kama zamani, Asante Sana Keren..
pamoja na mambo mengine yanayopelekea nyumba ndogo,ikiwemo tamaa zetu tu wanaume and alike,mitazamo kama hii kwa wadada ndio inapelekea ongezeko la nyumba ndogo.kwanini tu usiwe MWANAMKE?kujaribu kupingana na asili kama matokeo ya westernization na mazao ya makongamano kama lile la beijing,sterio-types tu za mtaani na kujaribu kuishi maisha ya kwenye tamthilia,hasa kwa dada zetu,yataendelea kuathiri sana ndoa na jamii zetu waafrika.yalianza huko kwa wazungu na sasa yanakuja kwa kasi kwenye jamii yetu!hebu tuwe waafrika kwa mambo yasiyotudhuru,tuna tamaduni na mila za kwetu jamani.elimu,kazi,kipato,historia ya familia,exposure etc. havikufanyi usiwe mwanamke au mwanaume!!
Well said my dear.
Pauline hivi ni nini maana ya mke mpendwa? tukiachana na lile tendo si ndio mambo kama hayo kumfulia, kumpikia n.k. Kama kweli mwanaume unampenda kutoka moyoni utajikuta unafanya hayo mambo bila hata kujiuliza labda siku moja moja ukichoka.
Hebu tuachane na ubeijing wadada Mume ili awe mume lazima awe na sauti ndani ya nyumba sio kwamba awe mnyanyasaji la hasha ila lazima aheshimiwe, kuna mambo afanye kwa kuamua mwenyewe kama hayo ya kufua, kupika n.k. Sio eti mtu unakaa na mume unaanza kabisa kumwambia "babu we siwezi kukufulia mie fua mwenyewe au pika mwenyewe", sasa huyo anakua mume tena au kitu gani ni bora nikae bila kuolewa kuliko kuolewa na mume ambae mimi ndio nina sauti haina haja sasa.
Raha ya mume ni yule akirudi nyumbani au akishinda nyumbani, nyumba nzima inatambua kwamba leo baba yupo sio kwa kumuogopa bali kuna heshima fulani lazima iwepo.