chochote unachoona kiko kny uwezo wako kifanye!!!.........................usitafute kisingizio cha kuwa lazy ili uvunje nyumba yako.............ukimwi unaua,sijui niko too westernized ila bado sijamfulia na kunyooshea mtu mzima nguo
Nilidhani maisha ni kusaidiana, mume anafanya hili na mke anafanya lile ofcourse kama mama yupo busy na mwanaume hana kazi ya kufanya hakuna neno kama atafua nguo au kuingia jikoni...., kwahiyo nadhani kusaidiana kazi ni kuonyesha upendo na kushare responsibilities sio kwamba unaogopa mtu atakukimbia after all inabidi ufanye all the best you can na sio kumpa mtu excuse..., akikuacha isiwe because of you bali mapepe yake mwenyewe...., after all there is nothing better kama kutumia kitu kilichotengenezwa kwa mapenzi na Mrs....., somethimes small things matter a lot
hapo nilipobold mwanajamii huoni na wewe umeingia kny huu mtego wa kuwa mtumwa kwa kuogopa nyumba ndogo?sijakataa usimfulie mumeo ninachopinga in return mbona mume hajishughulisha na yeye kukufulia siku moja moja???hayo mapenzi mapenzi gani ya upande mmoja???kwani yeye ndio hapendi akuone unavutia mitaani?mbona asijishughulishe????mie ningependa kuconduct survey kuona wanaume wenye nyumba ndogo kama hawafuliwi na kunyooshewa nyumnbani?lol:lol:
siweki neno hapa kama vile tunadanganyananimegundua hili ni tatizo la wanawake wengi,wanakuwa kwenye mahusiano kimachale machale saa yoyote mumewe anaweza kuwa na nyumba ndogo.....hofu hii imepelekea kuwafanya kuwa watumwa wa ndoa zao,atajitahidi amtreat mumewe kama mfalme/bossi lol,atamfulia,atamnyooshea nguo,atajitahidi awe anaamka mapema amtengenezee chai.........akihofia asipofanya haya mumewe ataenda nyumba ndogo.............................wakina kaka kuweni rensponsible kidogo...chochote unachoona kiko kny uwezo wako kifanye!!!.........................usitafute kisingizio cha kuwa lazy ili uvunje nyumba yako.............ukimwi unaua,sijui niko too westernized ila bado sijamfulia na kunyooshea mtu mzima nguo:smash::smash::smash: hata kupika nitajitahidi kumshirikisha na yeye alternative days...lol
Mimi sioni ubaya kufanya hivo kwa kuwa na yeye kuna mengi ananifanyi ingawa si mume wangu
Kwani boxers na shati au fulana tofauti yake nini? Labda kama unaivaa siku nne na chini kunatoa jasho or something...ila ni nguo tu,na kama kila saa kumi na mbili unaibadilisha sioni uchafu wowote....labda kuna watu huwa usafi chini ni noma.Nyumbani kwangu ni marufuku kufua chupi sijuhi boxers kutumia machine kwa sababu nina watoto wadogo na siamini sabuni zinaua wadudu wote. Naona vibaya kufua nguo za wanangu kwenye machine inayofua chupi za watu wazima. And mind you kuna other family members kama h/girls ambao wakiona unafua chupi kwa machine they will do the same kama wana magonjwa yao uoni kuwa ni hatatri kwa watoto.
Thanks a lot Pauline nilikuwa nina committments kidogo nikajipiga BAN...soma michango ya wakaka na baadhi ya wadada humu utajua haiko kotekote....maisha ni mke kumtumikia bwana tu....mnh,karibu sana VOR where have you been...tumemiss michango yako......
Si unajua tena smily 2(Pauline-smily 1)mambo ya first love ni kama driving school kila mmoja akishafuzu anatafuta mwingine.Nawe pia nakutakia weekend njema.Uporoto,
Akakufanyia hayo yote halfu ukamuacha...mhhhh!!!
Mzima lakini wewe? Nakutakia weekend njema!
Mi pia ni mpishi mzuri ntawaalika smily wote wawili for lunch one of these days.bora wewe Uporoto ulikuwa unajishughulisha kidogo,wenzio hata hawajishughulishi wanaona ni haki wao kufanyiwa tu ila wasifanye lolote....
mhh.... ndoa ngumu saaaana wajameni!!Pauline hujapata bado mtu unayempenda kwa dhati acha kufua,kupika na kumpigia pasi utafanya vitu hata hujawaza maishani lol! Mimi kuna msichana alinipenda alikuwa anakuja kwangu na kufanya vyote hivyo na kuninunulia nguo,viatu perfumes hadi chupi hahaha!
Mume wangu ni smart sana, kwa hiyo sijawahi kumyooshea nguo kwani anaona yeye hiyo kazi anaiweza zaidi. Lakini kufua nafua. Tuna washing machine nguo zinafuliwa na machine. boxers zake nafua kwa mikono yangu na wala sioni kama ni kuonewa kwa kuwa NAMPENDA kupita maelezo!
Inategemea uko kwenye stage gani ya ndoa. Kwani nakumbuka nilipoolewa nilienda kwa wakwe zangu. Wakati nimekaa nje nafua mume wangu akaja kunisaidia imagine mbele ya mama na bibi yake! Bibi akasema unabahati umepata mume anayekujali.
But with time aliacha kufua na mimi mwenyewe nguo zangu na zake nafua kwa nadra sana kwani tuna H/girl na machine. Ila chupi namfulia na nitaendelea kufanya hivyo.
Hivi kwa Tz kuna kazi gani mpaka mtu utake mume nae akusaidie. Kwa sababu unaweza kuwa na mahouse girl hata wawili sasa sioni kwa nini umpigishe deki mtoto wa mwenzio.
Hao wanaokaa ulaya waache wasaidiane kwani najua mziki wa kuishi nje hamna cha housegirl kwa hiyo msaada ni muhimu.
Thank God bado upo nilikumiss Sana..., mzima lakini..., naona smile yako bado ina ifanya JF kuwa more bright than ever...Uporoto,
Akakufanyia hayo yote halfu ukamuacha...mhhhh!!!
Mzima lakini wewe? Nakutakia weekend njema!
ukisaga nyanya yeye anakata vitunguu. Lol.Tatizo wanaume wa siku hizi wanaoa kisa wamechoka kujipikia, kujifulia.. Mara wamechoka kujifungulia mageti wakirudi, wengine wameachiwa watoto hvyo wanaoa ili wapate mlezi wa watoto wao. Hapo mwanamke lazima uwe uchakarishwe hata kama hupendi.: hata kupika nitajitahidi kumshirikisha na yeye alternative days...lol