ha ha ha u ar misteken
nyie wenyewe mepangwa kwa folenn simtank hadi vidumu
tanesco,jenereta hadi mishumaa
unafkiri kiwango unachopewa cha papapuchi na mpenzio sawa na mwingine anavyopewa/??
anavyokuzugusha jua wenzio wanapewa free
anahonga wenzio wanapewa bure kisa aanamfikisha
kuna dume la outing..la pesa...la kupewa gegedo...achaa kabisa hii mambo
labda looser kwenye kuolewa mkuu
Ata wanaume wanachangamoto sana. Ana msululu wa mademu ila wa kuoa hamuoni.
Ooh my..!ha ha ha u ar misteken
nyie wenyewe mepangwa kwa folenn simtank hadi vidumu
tanesco,jenereta hadi mishumaa
unafkiri kiwango unachopewa cha papapuchi na mpenzio sawa na mwingine anavyopewa/??
anavyokuzugusha jua wenzio wanapewa free
anahonga wenzio wanapewa bure kisa aanamfikisha
kuna dume la outing..la pesa...la kupewa gegedo...achaa kabisa hii mambo
labda looser kwenye kuolewa mkuu
ha ha ha u ar misteken
nyie wenyewe mepangwa kwa folenn simtank hadi vidumu
tanesco,jenereta hadi mishumaa
unafkiri kiwango unachopewa cha papapuchi na mpenzio sawa na mwingine anavyopewa/??
anavyokuzugusha jua wenzio wanapewa free
anahonga wenzio wanapewa bure kisa aanamfikisha
kuna dume la outing..la pesa...la kupewa gegedo...achaa kabisa hii mambo
labda looser kwenye kuolewa mkuu
Hahahahaha poleeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee!!
Wewe umempanga na yeye kakupanga vile vile tena zaidi yako.
Mfano tu.
1. Wewe una mnunulia demu simu, mwanaume mwenzio ana mtumia vocha
2. Unamrushia demu SMS love yeye anafoward kwa mwanaume mwenzio
3. Unamnunulia demu wako chupi mwanaume mwenzio anamvua
4. Unamuomba mfanye mapenzi japo kwa dakika kadhaa, mwenzio ana bembelezwa na demu wa kalale mpaka asubuhi hahahahahahahhah mpaka hapo nyie pia mnachangamoto:A S wink:
SERA YA MAPENZI kwa vipindi tofauti..!
MIAKA YA:
1986-1990.
NIMEKUBALI ila usimwambie mtu..!
MIAKA YA:
1991-1995.
NIMEKUBALI lakini namwogopa Baba na Mama watajua..!
MIAKA YA:
1996-2000.
NIMEKUBALI lakini sitaki kufanya mapenzi mpaka unioe..!
MIAKA YA:
2001-2005.
NIMEKUBALI lakini tutumie condom..!
MIAKA YA:
2006-2010.
PESA yako tu, maneno sitaki..!
Balaa iko hapa...!
MWAKA:
2011-2015.
NIMEKUBALI lakini haupo peke yako..!
Asalalee..!
TUMEKWISHA.
makubwaaa, sikujua, hahaha.
hao hao mkuu, wanajaribu ila bado hawajaweza.
Toa na changamoto za wanaume, mimi naamini kuwa na wanaume nao wanachangamoto.Mfano hata uwe mhuni vipi hata kama ulidanganya wasichana wangapi,inapofika suala la kuoa lazima uchanganyikiwe tu maana unawaza hivi Amina akija kanisani kuzuia ndoa yangu itakuweje?Hivi mke wangu akijua kama nilikuwa natembea na machangu itakuweje.Lazima pia ukubaliane na mimi kuwa kwa mwanaume ambae akili yake ipo sawasawa lazima na yeye ana changamoto zake katika mahusiano