Wanawake na artificial insemination

Wanawake na artificial insemination

ndege JOHN

JF-Expert Member
Joined
Aug 5, 2015
Posts
23,634
Reaction score
57,009
Nimekutana na stori wadada wawili.mmoja anamwambia mwenzake kwamba watafute hela wapate magari na majumba Kisha wakanunue mbegu za calisah yule mwanamitindo Kisha wapandikize wapate watoto vishombi shombi.kwa kweli huku ndipo tulipofikia na tunakokwenda.na wakishazaa watawaonyesha mapenzi ya dhati hao watoto kiasi kwamba hata wakiwadanganya kuwa baba zao walishakufa maisha yaendelee.wanawake mnapoteza kizazi chetu kwa hii michakato mnaoifanya ya kubadilisha shape, kubadilisha rangi na Sasa kuzaa bila baba.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Calisah ndo nani?
Calisah ni mdananda Fulani alikuwaga mbongo muvi enzi za kanumba mchafu chafu hivi ila now day baada kuanza u modo akaanza kuwa msafi msafi na kupiga pamba na kujichubua ,kutoga masikio ,kuweka kalikiti kichwani na kuvaa mlegezo 45° .

Kwa kifupi ni Malaya wa kwa maana ya kwanza yupo kuwaridhisha wadada Fulani wenye stress zao mjini for pay .

Na ni kitombi hasa maana anawatembezea kweli kweli

Kubwa zaidi amekaa kwenye fantasy za masista duu na shugamami wengi mjini hapa .

Kaka huyu ndio mla vumbi pekee hapa bongo ambaya wanadhani ametokea pale lenox park au Virginia high land hotlanta

Bongo bahati mbaya #BBM

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimekutana na stori wadada wawili.mmoja anamwambia mwenzake kwamba watafute hela wapate magari na majumba Kisha wakanunue mbegu za calisah yule mwanamitindo Kisha wapandikize wapate watoto vishombi shombi.kwa kweli huku ndipo tulipofikia na tunakokwenda.na wakishazaa watawaonyesha mapenzi ya dhati hao watoto kiasi kwamba hata wakiwadanganya kuwa baba zao walishakufa maisha yaendelee.wanawake mnapoteza kizazi chetu kwa hii michakato mnaoifanya ya kubadilisha shape, kubadilisha rangi na Sasa kuzaa bila baba.

Sent using Jamii Forums mobile app

Wacha kila mtu aishi maisha anayoyataka,maisha mafupi sana jaman
 
Wanawake wengine wanakuwaga na mtindio wa ubongo huyu dogo huwa anazurura mlimani hanunui hata pipi sijui ndio huwa anatafuta wadada wenye akili mbovu wamnunue
 
Calisah ni mdananda Fulani alikuwaga mbongo muvi enzi za kanumba mchafu chafu hivi ila now day baada kuanza u modo akaanza kuwa msafi msafi na kupiga pamba na kujichubua ,kutoga masikio ,kuweka kalikiti kichwani na kuvaa mlegezo 45° .

Kwa kifupi ni Malaya wa kwa maana ya kwanza yupo kuwaridhisha wadada Fulani wenye stress zao mjini for pay .

Na ni kitombi hasa maana anawatembezea kweli kweli

Kubwa zaidi amekaa kwenye fantasy za masista duu na shugamami wengi mjini hapa .

Kaka huyu ndio mla vumbi pekee hapa bongo ambaya wanadhani ametokea pale lenox park au Virginia high land hotlanta

Bongo bahati mbaya #BBM

Sent using Jamii Forums mobile app
Amecheza movie gani na kanumba?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom