Wanawake na artificial insemination

Wanawake na artificial insemination

Nimekutana na stori wadada wawili.mmoja anamwambia mwenzake kwamba watafute hela wapate magari na majumba Kisha wakanunue mbegu za calisah yule mwanamitindo Kisha wapandikize wapate watoto vishombi shombi.kwa kweli huku ndipo tulipofikia na tunakokwenda.na wakishazaa watawaonyesha mapenzi ya dhati hao watoto kiasi kwamba hata wakiwadanganya kuwa baba zao walishakufa maisha yaendelee.wanawake mnapoteza kizazi chetu kwa hii michakato mnaoifanya ya kubadilisha shape, kubadilisha rangi na Sasa kuzaa bila baba.

Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu ndo wanataka wachukue mbegu zake?

Dunia ina mambo
DMFGufeUEAAZ8ZL.jpg
 
Back
Top Bottom