Kweli, wanajishusha thamani wenyeweNakama kuna tabia ya kipuuzi hawa dada zetu wanayo ni kumpenda mtu asiye mpenda ving'ang'anizi htr unakuta mwanamke anakupenda miaka 6,anajua una mpenzi anakupenda anajua huna anakupenda amesikia umeoa anakupenda yaan mtu una mgonga tokea ana miaka 16 hadi ww umeoa na watoto ila ukipata mda ukamuita anakuja unamgonga yaan so cheap..
Mpaka huu mwaka uishe wanawake tutakukoma wallahi.
Maana yake kujitambua, uko sawa ndugu.Kuna aina mbili za usaliti,
Kuna ambao ni wasiri na ambao sio wasiri
Sasa kwa ambao sio wasiri ndio ambao wake zao wanaimba Mungu fanya miujiza,
Mwanume shupavu ni yule ambaye anafanya usaliti lakini akitambua mke wake ndio nambari one
Kwakwelikweli kabisa Valentina,
ukimpenda mtu unaweza kumhonga hadi uhai wako,
HahahaHahahaha... Kumbe unaujua huo wimbo?
eti Mungu sio mwegulu nche*ba
we jamaa noma sana nakufananisha na Ney wa mitego ukiamua kuwachana huchagui cha kuongea big up sana