Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,462
- 21,334
Waleee walee wale wabaya waleee wale walee awatupendi waleeeeee watajijua wenyewe waleeeeee
najua utaniimbia huu wimbo mie aku ujumbe umefika kuelekea jumapili
mwaya kuna mabinti wamekuwa raisi sana yaani wamekutana na wanaume kidogo tu gafla umehama
umemebebea mfuko wa rambo unahamia kwa mwanaume lohhhhhhhhhhhhhhhh
wale wale wale wabaya waleeeeeeeeeee...nasema ukweli siasa sijui mdomo nimepewewa mkono mashallah
nasema jamani wanaume watawadharau msikubali kujirahisisha hata kama anakupenda mwambie nenda kwa wazazi fwata procedure mhalalishwe
walahi nasema na najua utanibadilishia wimbo wa taarabu na ndio maana sufuria ina kifuniko jitahdi rafiki wako wa karibu awe mungu wako kukuongoza kama huyu mwenzio ama walewaleeeeeeeeee
mie nawapenda ndio maana naasema hivo hakuna nguvu kubwa kama mkikutana wote manmjua mungu mnakuwa na amani kwenye ndoa yenu lakini hili la kupelekwa na bajaji sinza gafla unapigwa makofi ushazalishwa watoto watatu unarudi kwa nani weyye akupokee ulienda kama nani
jiulize kwanza usikimbilie kwasababu umesikia kuhamia na wewe unahamia amia na procedure
najua utaniimbia huu wimbo mie aku ujumbe umefika kuelekea jumapili
mwaya kuna mabinti wamekuwa raisi sana yaani wamekutana na wanaume kidogo tu gafla umehama
umemebebea mfuko wa rambo unahamia kwa mwanaume lohhhhhhhhhhhhhhhh
wale wale wale wabaya waleeeeeeeeeee...nasema ukweli siasa sijui mdomo nimepewewa mkono mashallah
nasema jamani wanaume watawadharau msikubali kujirahisisha hata kama anakupenda mwambie nenda kwa wazazi fwata procedure mhalalishwe
walahi nasema na najua utanibadilishia wimbo wa taarabu na ndio maana sufuria ina kifuniko jitahdi rafiki wako wa karibu awe mungu wako kukuongoza kama huyu mwenzio ama walewaleeeeeeeeee
mie nawapenda ndio maana naasema hivo hakuna nguvu kubwa kama mkikutana wote manmjua mungu mnakuwa na amani kwenye ndoa yenu lakini hili la kupelekwa na bajaji sinza gafla unapigwa makofi ushazalishwa watoto watatu unarudi kwa nani weyye akupokee ulienda kama nani
jiulize kwanza usikimbilie kwasababu umesikia kuhamia na wewe unahamia amia na procedure