imamu kawaambia wanawake mckitini,anaeteswa na mumewe kati yenu asimame,woote wakasimama kasoro mmoja tu kabaki amekaa. imamu akamwambia"mashaallah wewe huteswi na mumeo"? akajibu,"kanivunja miguu cwezi hata kusimama"!!!
imamu kawaambia wanawake mckitini,anaeteswa na mumewe kati yenu asimame,woote wakasimama kasoro mmoja tu kabaki amekaa. imamu akamwambia"mashaallah wewe huteswi na mumeo"? akajibu,"kanivunja miguu cwezi hata kusimama"!!!