Weka namba yake tutoe sadaka....ila hilo la kwanza la mwanaume yeyote awe baba wa mtoto asahau tena asahau kabisa wanawake siku hizi wamekuwa ni watu wa hovyoo na hawaaminiki tena.
Unaweza kujitolea, ukamsaidia na hata kuwa baba wa mtoto ila cha kushangaza anaweza kuja jamaa kwa kigezo cha kulea mtoto pamoja na wewe ukapigwa chini.
Hawa wanawake siyo binadamu wazuri, km unajitolea jitolee siyo kumuoa na kuwa baba wa mtoto.
Unaweza kujitolea, ukamsaidia na hata kuwa baba wa mtoto ila cha kushangaza anaweza kuja jamaa kwa kigezo cha kulea mtoto pamoja na wewe ukapigwa chini.
Hawa wanawake siyo binadamu wazuri, km unajitolea jitolee siyo kumuoa na kuwa baba wa mtoto.