Heaven Sent
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 32,717
- 98,375
Jenga kwanza mahusiano mazuri na Mtu kabla hujaanza kuomba namba. Mtu mkishazoeana hata yeye mwenyewe anaweza kukupa namba yake. Kwa case ya kwenye daladala, jifunze tu kujikausha na wewe. Ukifika kaa tu kwenye seat yako, hamna ulazima wa kutoa Salamu kwa kila unayemuona