Wanawake mnataka nini ili mtulie?

Samahani hapo juu kwenye kuhusi mume kuhitaji wake wote kuna any evidence kutoka ktk vitabu vya dini ama ni tamaa zetu
 

Mkuu umetoa somo la uhakika hapa. Nimekuelewa ya kwamba ili kumtuliza mwanamke yampasa mume kuwa na pesa pamoja na muda wa kumkuna mke ipasavyo.

Na inavyoonekana ni ngumu kubalance. Ukiwa na fedha muda wa kungonoka unakuwa huna. Ukiwa huna pesa unakuwa na muda mwingi wa kungonoka.

Basi kazi ipo. Acha tuchapiane tu.
 
80% ya wanawake ni malaya na wabinafsi pia wanaroho mbaya sana ndio maana hata wao hawapendani
Hii inahusika pande zote kumbuka hilo...umalaya wanafanya na wanaume....hudumia mke mpe haki yake ya ndoa...ndiyo hitaji kuu
 
Hapo sasa ndio mtihani ulipo
Teh teh taratibu utawezajizuia tuu mana hata mbuyu ulianza kama mchicha. Tena wewe wa nyumban utafaa kabisa mana nataka niwe na brand ya nyumbani mola akijalia [emoji5] [emoji5] [emoji39] jitahid bwana.[emoji57]
 
Huyo kamsingizia shetaniii bure.......................


kukubali akubali yy kuvua avue yy kugegedwa agegedwe yeye kumsingizia amsingizie shetani......

Akapime Mimba kwanza
 
Teh teh taratibu utawezajizuia tuu mana hata mbuyu ulianza kama mchicha. Tena wewe wa nyumban utafaa kabisa mana nataka niwe na brand ya nyumbani mola akijalia [emoji5] [emoji5] [emoji39] jitahid bwana.[emoji57]
Ayiii
 
nimegunduakuwa pes hela pekeehavitoshi ila na tendo la maanayani migegedoinayoridhisha nimuhimu sanapia.....je huyu alikuwahapat hiyo....au hakuwa nahofu alipitiwa tu kama anavosema shetani..japosioshetanini sisi tu tunajisahau kwa tamaa...inawezakuwa shetani kweli lakini...haahah
 
Muwe wapole bana nanyie heeee kamegewa jirani mnalalamiiiika nyie hammegi, nyie vepe
 
Hiyo sababu tu, ila ni wazi wanawake hata hamuelewekagi mnataka nini kwenye mahusiano, mnaojielewa ni wachache mno yaani

tunaeleweka sanaaa nyie ndio hamueleweki ndio maana hamtuelewi!! mjielewe kwanza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…