Wanawake mnaopenda ela

Wanawake mnaopenda ela

Ulitaka tupende ngararumu.......?........
 
mi nawaambia itafikia kipindi mtakuwa hamu olewi...........!!!!

Ha ha.....tafuta hela wewe......acha kupiga kelele.....
Itabidi na wewe usioe.......maana utapigiwa na wenye hela kila siku......ubaki kushika pembe.......
Changamka.......dunia ndo ishavaa pajama hii.......
 
Ha ha.....tafuta hela wewe......acha kupiga kelele.....
Itabidi na wewe usioe.......maana utapigiwa na wenye hela kila siku......ubaki kushika pembe.......
Changamka.......dunia ndo ishavaa pajama hii.......

Duuu.......!!!!
kweli wajinga waliwaoooo......
hiki ndiyo kizazi cha nyokaaa..
 
Duuu.......!!!!
kweli wajinga waliwaoooo......
hiki ndiyo kizazi cha nyokaaa..

Fafanua nyoka yupi......black mamba.....green mamba......cobra.....puff ader......viper.....grass snake......python......au.....
 
Fafanua nyoka yupi......black mamba.....green mamba......cobra.....puff ader......viper.....grass snake......python......au.....

Haaahaaaaa......!
ingekuwa bora kama huyu nyoka angekuwa na rangi ningeweze kumtambua...,ila huyu nyoka ndio chanzo cho kuchelewesha na kuzuia maendeleo ya mwanaumeee.....!!!
 
Haaahaaaaa......!
ingekuwa bora kama huyu nyoka angekuwa na rangi ningeweze kumtambua...,ila huyu nyoka ndio chanzo cho kuchelewesha na kuzuia maendeleo ya mwanaumeee.....!!!

Usisahau kesho kupiga kura........fanya mabadiliko.......chagua Lowasa.........
 
Wanakera sana unakuta umejuana nae ck mbili tu anaanza kuomba pesa tamaa zitawapeleka pabaya
 
Usisahau kesho kupiga kura........fanya mabadiliko.......chagua Lowasa.........

Kumbe hapo tumeanza kuelewanaaa, kwa mtu yeyote anayetaka mabadiliko ni lazima tuchague LOWASSA.....!!!!!
PIPOOOO.....!!!!!
una akili sana pret, no yangu ni 0653572122 tuchati private
 
Back
Top Bottom