tpaul
Platinum Member
- Feb 3, 2008
- 25,946
- 25,308
Siku hizi imekuwa fasheni kwa wanawake wa rika zote kubugia miudongo, zamani wanawake wenye mimba ndio walikuwa wakitafuna udongo huu lakini kadri siku zinavyosonga tunashuhudia hata mabinti wadogo kabisa nao wameingia kwenye mkumbo.
Ukiwauliza kwanini wanakula huu uchafu wanajibu kwamba wanajisikia hamu kula udongo na kujiweka ktk hatari ya kuathiriwa na ugonjwa wa minyoo au appendix? Jamani, taratibu kina mama!
Inadhaniwa kwamba wanawake wanaokula udongo huu wanakuwa na upungufu wa madini ya chuma. Lakini kwa jinsi hali inavyoonyesha, inawezekana isiwe kweli kwani haiwezekani kwamba 90% of the females in TZ have iron deficiency! Hii inawezekana ikawa aina fulani ya ulevi/uraibu miongoni mwa kina mama wa kitanzania.
It's suprising to see an educated woman eating that stuff! Leo kuna bi shost mmoja hapa kitaa kabugia kiroba kizima cha udongo hadi ameshindwa kunyanyaka--kisa tu eti alikuwa na hamu nao! Horrible!
Ukiwauliza kwanini wanakula huu uchafu wanajibu kwamba wanajisikia hamu kula udongo na kujiweka ktk hatari ya kuathiriwa na ugonjwa wa minyoo au appendix? Jamani, taratibu kina mama!
Inadhaniwa kwamba wanawake wanaokula udongo huu wanakuwa na upungufu wa madini ya chuma. Lakini kwa jinsi hali inavyoonyesha, inawezekana isiwe kweli kwani haiwezekani kwamba 90% of the females in TZ have iron deficiency! Hii inawezekana ikawa aina fulani ya ulevi/uraibu miongoni mwa kina mama wa kitanzania.
It's suprising to see an educated woman eating that stuff! Leo kuna bi shost mmoja hapa kitaa kabugia kiroba kizima cha udongo hadi ameshindwa kunyanyaka--kisa tu eti alikuwa na hamu nao! Horrible!