Wanawake mnakaa uchi kwa makusudi au bahati mbaya?

kibuyu180

JF-Expert Member
Oct 22, 2016
1,715
1,819
Naomba niseme sio wote, wapo baadhi wenye hii tabia.

Unakuta wadada/wamama wamekaa kibarazani mmoja anakaa uchi bila kujali wapita njia. Wenzake wamekaa vizuri.Mwingine akigundua anajifunika, lakini baada ya muda anakaa vile vile.

Je, mnapitiwa au makusudi?
 
Naomba niseme sio wote. Wapo baadhi wenye hii tabia. Unakuta wadada/wamama wamekaa kibarazan mmoja anakaa uchi bila kujali wapita njia. Wenzake wamekaa vzr.
Mwingine akigundua anajifunika, lakini baada ya muda anakaa vile vile.
Je,mnapitiwa au makusudi??
hivi kwa nini huwa hamuwaongelei wanaume wa kimasai wanaotemɓea na sime na mikuki uchi mmumewaƙomaloa wanawaƙe tu kwa nin
 
leteni hoja zinazoeleweka bhana.. acheni ujinga.. ndio mada gani sasa hii..!!!
 
Back
Top Bottom