Wanawake mnahitaji nini hasa kwetu wanaume.,?

Wanawake mnahitaji nini hasa kwetu wanaume.,?

Al-shabaab

JF-Expert Member
Joined
Aug 24, 2013
Posts
1,791
Reaction score
620
Habari zenu wan MMU
nimekuwa katika uhusiano ya kimapenzi na mpenzi wangu kwa muda sasa
ninamtimizia kila kitu lakini
bado analalamika simjali
kama ni upendo namwonyesha upendo wa dhati.,
kama ni kumsaidia matatizo yake namsaidia.,
na vingine vingi
swali langu
Wanawake mnahitaji nini zaidi kutoka kwetu wanaume?
 
Mkuu hebu jaribu kukaa nae chini, umuulize kwa utulivu - labda anaweza kukuambia kinachomtatiza
 
Kwa huo mtindo wenu wa kutafuta kasoro za wadada........mtajiuliza maswali mengi mno na msipate majibu!
 
Kulalamika sometimes ni tabia ya mtu, ila pa kuanzia huwa analalamika nini ? / Ni kipi anachokilalamikia ?, nadhani huo ndio utakuwa mwanz wa kutambua tatizo.
 
Kila mwanamke ana tafsiri yake kuonyesha unamjali wengine hata umtendee nini usipomletea ka ua anaona hunamjali,hebu muulize tafsiri ya kuonyesha unamjali nini kwake labda wewe umeng`ang`ana kumpa chips wakati yeye gali la sembe ndo atashinda kakenua meno.
 
Hilo ulilotuuliza sisi ndiyo muulize yeye kwamba anataka nini zaidi,atakuambia kisha tatizo utakuwa umetatua.
 
Kwa huo mtindo wenu wa kutafuta kasoro za wadada........mtajiuliza maswali mengi mno na msipate majibu!

mambo Avemaria! umepotea sana aisee!

ila kweli kutafuta kasoro sio vizuri kabisa!!
 
Last edited by a moderator:
kuna wadau wanasema kufanyia sex eneo moja inachosha...!

kwa hiyo na wewe jaribu kuwa unabadilisha badilisha mazingira ya kumgegedea mpenzi wako!

sio kila siku kwenye kakitanda kako ka springi na makelele yote yale! chukwi chukwi chukwi mpaka mtoto wa watu anaumia mgongo..!
 
Habari zenu wan MMU
nimekuwa katika uhusiano ya kimapenzi na mpenzi wangu kwa muda sasa
ninamtimizia kila kitu lakini
bado analalamika simjali
kama ni upendo namwonyesha upendo wa dhati.,
kama ni kumsaidia matatizo yake namsaidia.,
na vingine vingi
swali langu
Wanawake mnahitaji nini zaidi kutoka kwetu wanaume?

Mkuu pole sana ili tatizo nadhan lipo karibia kwa wanawake wote walio ktk mahusiano kwa jamaa zao wanaowajali kwa kila kitu embu mpeleke Dubai mfanyie suprise hapo asipo rizika tena,bas anataka roho yako
 
Turudi kwenye msingi wa mahusiano. Mlipokutana alikupendea nini? Maana wewe sio tajiri wala mzuri kuliko wengine. Kuna kitu. Isijekuwa ni ule urafiki wa kusolve maswali ukazaa uchumba sasa shule imeisha na vipao mbele vikabadilika na wewe hujajua. Tafiti mwanaume. Mapenzi ni nusu ya ujasusi na kuwa alert kuhusu mwenzio (serikali yako)
 
kuna wadau wanasema kufanyia sex eneo moja inachosha...!

kwa hiyo na wewe jaribu kuwa unabadilisha badilisha mazingira ya kumgegedea mpenzi wako!

sio kila siku kwenye kakitanda kako ka springi na makelele yote yale! chukwi chukwi chukwi mpaka mtoto wa watu anaumia mgongo..!




teh teh uwiii majibu ya hivi yananiacha hoi





Sent from my Nokia Lumia using Tapatalk
 
Back
Top Bottom