Naam waende wakachukue orodha wafatilie wapambane na wezi haoKwani walitangaza na baba wa hao watoto?? Sasa hapo mkuu hao walio kwenye ndoa zao watajuaje?
Au unawashauri waende kwa mkuu wa mkoa waombe orodha ya wabab waliotelekeza watoto??
Ndiyo wawadhibitiKwani waki pambana kuna kitu kitabadilika?
Utamdhibitije mtu mzima anayejielewa?Ndiyo wawadhibiti
Wewe hujui hawa wakimteka mumeo hakuna rangi utaacha kuonaUtamdhibitije mtu mzima anayejielewa?
Hilo nalijua mkuu. unamdhibiti mtu hadhibitiki unamfanyaje mtu wa hivyo?Wewe hujui hawa wakimteka mumeo hakuna rangi utaacha kuona