Wanawake Lindeni Afya Zenu

Nadhani takwimu hizi ni kwasababu wanaume wengi hawapimi hiv, wanawake inawalazimu kupima hasa nyakati za ujauzito.
 
Nadhani takwimu hizi ni kwasababu wanaume wengi hawapimi hiv, wanawake inawalazimu kupima hasa nyakati za ujauzito.
Sasa mke wako akikutwa nao si atakuambia au akikuambia wewe utakufa kiume hutataka kutumia ARV au nin🤓 Ukimwi haujifichi bila kutumia dawa utakuumbua na huwezi kupata dawa bila kupima.
 
Wanawake wengi sana ni wagonjwa wa magonjwa ya zinaa, wenyewe wakijisikia homa kidogo wanakimbilia kutibu UTI... Bin'adamu hampo salama
 
Watoto wa siku hizi wanaogopa sana mimba kuliko UKIMWI, na wanajisahau kama kuna homa ya ini inayokula kwa njia zile zile za UKIMWI na bonus ya majasho, magonjwa ya zinaa nayo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…