MI NI MWANAUME LEO NAWAPA SIRI ZA MWANAUME Ambae Anataka Akuchezee Afu Akuache Yuko Ivi
1-Siku Yakwanza Mtapoenda Kufanya Ngono Atagalamia Kila Kitu, Ila Akisha Kukojolea2 Kisha We Ukaenda Nyumbani Hutaona Kakutumia Meseji Ata Kukuuliza Beby Umefika Salama" Mpaka Uanze Kumtafuta Wewe
2-Ukienda Kulala Namwanaume Kwake Afu Akakuamsha Asubuhi Sanaa Kabla Ya Watu Kuamka Ili Wasikuone Huyo AKUPENDI
3-Mwanaume Anae Kuhitaji USIKU Tu Huyo AKUPENDI
4-Ukiona Mwanaume Anakupitisha Njia Za Vichochoroni Huyo AKUPENDI
5-Ukiona Mwanaume Usiku Mzima Kakupiga Kabao Kamoja Tu Afu Akageukia Pembeni Hataki Ata Umguse Huyo AKUPENDI
6-MWANAUME Anae Kuhitaji Akiwa NA NYEGE TU, Huyo AKUPENDI
Ukiona Mwanaume Baada Ya Kufanya Mapenzi Nawewe Akasitisha Mawasiliano Nawewe Ata Mwezi, Afu Akaja Kukutumia Meseji "BEBY MBONA KIMYA IVYO" Ujue NYEGE Zimempanda Naamekosa Wakuzituliza Ndo Anakukumbuka WEWE, Huyo AKUPENDI
UKIONA MWANAUME MWENYE DALILI HIZI MWAMBIE APITE KUSHOTOOOOOOOOOOOOOOOOOOO
AU DADA ZANGU NACHO SEMA NI UWONGO ????