Wanawake leo nawapeni siri za wanaume

Wanawake leo nawapeni siri za wanaume

Sasa umepata faida gani kuja kunianika hapa, punguza virungu hizo tahia ulizozuweka hapo hutaziona tena, nakuahidi kubadilika kabisa mrembo wng!
 
Write your reply...unayumba boblai mbona unatoa Siri za kambi. unasaliti jinsia yako hatuwez ishi na msaliti kwanzia Leo we utakuwa mwanamke
 
UKIONA MWANAUME MNAPOINGIA GEST ATAKUVUA CHUPI LAKINI AKISHA KOJOA GOLI ZAKE KAZAA USITEGEMEE ATAKUVALISHA CHUPI MKIMALIZA HUYO HAKUPENDI
 
Hayo yote yanasababishwa na wanawake. Mtu unampigisha sound mwezi, miezi anakuzungusha tuu, sasa ukibanjuliwa inakuwa zamu yako na wewe kuteseka. Mbaya zaidi mtu sura nzuri ukahangaika kuhonga weeeee, kwenye mechi unakuta gogo, au mtambo hauna hata shepu umeshakuwa bwawa, mingine ina vidole virefuuuuu mpaka unatamani kuahirisha mechi, lazima nisepe kijumla
Hukuona mavidole wakati unamtongoza?
 
Mbona sijaona siri apo hayo yote uliyoandika wanawake wote wanayajua na wala hayawasumbui. Mwanamke anapotafunwa huwa anajua kabisa kwamba hapa nachezewa tuu hamna future au hapa tunapotezeana muda wakati tukisongesha maisha
 
MI NI MWANAUME LEO NAWAPA SIRI ZA MWANAUME Ambae Anataka Akuchezee Afu Akuache Yuko Ivi

1-Siku Yakwanza Mtapoenda Kufanya Ngono Atagalamia Kila Kitu, Ila Akisha Kukojolea2 Kisha We Ukaenda Nyumbani Hutaona Kakutumia Meseji Ata Kukuuliza Beby Umefika Salama" Mpaka Uanze Kumtafuta Wewe

2-Ukienda Kulala Namwanaume Kwake Afu Akakuamsha Asubuhi Sanaa Kabla Ya Watu Kuamka Ili Wasikuone Huyo AKUPENDI

3-Mwanaume Anae Kuhitaji USIKU Tu Huyo AKUPENDI

4-Ukiona Mwanaume Anakupitisha Njia Za Vichochoroni Huyo AKUPENDI

5-Ukiona Mwanaume Usiku Mzima Kakupiga Kabao Kamoja Tu Afu Akageukia Pembeni Hataki Ata Umguse Huyo AKUPENDI

6-MWANAUME Anae Kuhitaji Akiwa NA NYEGE TU, Huyo AKUPENDI

Ukiona Mwanaume Baada Ya Kufanya Mapenzi Nawewe Akasitisha Mawasiliano Nawewe Ata Mwezi, Afu Akaja Kukutumia Meseji "BEBY MBONA KIMYA IVYO" Ujue NYEGE Zimempanda Naamekosa Wakuzituliza Ndo Anakukumbuka WEWE, Huyo AKUPENDI

UKIONA MWANAUME MWENYE DALILI HIZI MWAMBIE APITE KUSHOTOOOOOOOOOOOOOOOOOOO

AU DADA ZANGU NACHO SEMA NI UWONGO ????
Wewe ni mwanamke, acha uongo!
 
Sasa sifazote ni baada ya kutiwa...


Hakuna namna wakawajua kabla hawajatiwa??
 
MI NI MWANAUME LEO NAWAPA SIRI ZA MWANAUME Ambae Anataka Akuchezee Afu Akuache Yuko Ivi

1-Siku Yakwanza Mtapoenda Kufanya Ngono Atagalamia Kila Kitu, Ila Akisha Kukojolea2 Kisha We Ukaenda Nyumbani Hutaona Kakutumia Meseji Ata Kukuuliza Beby Umefika Salama" Mpaka Uanze Kumtafuta Wewe

2-Ukienda Kulala Namwanaume Kwake Afu Akakuamsha Asubuhi Sanaa Kabla Ya Watu Kuamka Ili Wasikuone Huyo AKUPENDI

3-Mwanaume Anae Kuhitaji USIKU Tu Huyo AKUPENDI

4-Ukiona Mwanaume Anakupitisha Njia Za Vichochoroni Huyo AKUPENDI

5-Ukiona Mwanaume Usiku Mzima Kakupiga Kabao Kamoja Tu Afu Akageukia Pembeni Hataki Ata Umguse Huyo AKUPENDI

6-MWANAUME Anae Kuhitaji Akiwa NA NYEGE TU, Huyo AKUPENDI

Ukiona Mwanaume Baada Ya Kufanya Mapenzi Nawewe Akasitisha Mawasiliano Nawewe Ata Mwezi, Afu Akaja Kukutumia Meseji "BEBY MBONA KIMYA IVYO" Ujue NYEGE Zimempanda Naamekosa Wakuzituliza Ndo Anakukumbuka WEWE, Huyo AKUPENDI

UKIONA MWANAUME MWENYE DALILI HIZI MWAMBIE APITE KUSHOTOOOOOOOOOOOOOOOOOOO

AU DADA ZANGU NACHO SEMA NI UWONGO ????
True ukimwona mwanaume hakutunzi ni miti tu anakupiga anadai maisha ni tete huyo akupendi.
 
Back
Top Bottom