Mama Sabrina
JF-Expert Member
- Jul 30, 2016
- 16,618
- 27,599
Ulikuwepo wakati tunapewa bure???
Ok honeyAsante sweetheart
DuuuhUlikuwepo wakati tunapewa bure???
Kumhudumia manzi wangu ni lazima, sio hiyari.Excellent
Yes mtakula kwa jasho na tutazaa kwa uchungu ovaKumhudumia manzi wangu ni lazima, sio hiyari.
Huwa siwaelewi wanaume wanaojilizaliza kuhusu kumhudumia MTU wake, mapenzi sio lazima kama vp atafute wa bure bure!Yes mtakula kwa jasho na tutazaa kwa uchungu ova
UMEOLEWAYes mtakula kwa jasho na tutazaa kwa uchungu ova
Yaani kuna me ni bahili hatariHuwa siwaelewi wanaume wanaojilizaliza kuhusu kumhudumia MTU wake, mapenzi sio lazima kama vp atafute wa bure bure!
NdiyoUMEOLEWA
MBONA WA BURE WAPO WENGI TU NA HAMJUI SISI WA BURE NDIO TUNAWATHAMINI NA TUPO TAYARI KWA CHOCHOTE WEWE MUUZAJI UTAUZA TU KWA YEYOTEYaani kuna me ni bahili hatari
Ok sawa mkuuMBONA WA BURE WAPO WENGI TU NA HAMJUI SISI WA BURE NDIO TUNAWATHAMINI NA TUPO TAYARI KWA CHOCHOTE WEWE MUUZAJI UTAUZA TU KWA YEYOTE
Siyo bure,bali kimelipiwa kifurushi cha kudumuUkishaoa unapata bureeeee ee.hamna cha mbali wala nini.usioe addicted ATM user tu.
Huwa kinatunzwa kwa gharama kubwa sana. Hakikupatikana bure hata siku moja.Hivi kuna risk gani mtakayopata mukitoa bure mlichopewa bure?, hiyo moja, mbili kama mnazani ni sahihi kuwatoza wanaume wanapoitaji Mbunye njooni hapa na majibu yaliyoshiba vinginevyo itakuwa munamkosea aliyewapeni bure.
Aidha kama ni suala la nani anaeona utamu zaidi baina ya ile kitu inamesa mesake na ile ingine inayomeswa, kwa nini nyie mnakuwa wakwanza kutoa mgumio wa Ngurue kwenye shamba la miwa??!, je tukisema nyie ndio mnaongoza kusikia utamu zaidi yetu na hatua zenu za kutoza ni sawa na kumkosea yule aliyewapeni bure itakuwa tumeongopa??.
Wanawake hacheni kutoza mlichopewa bure kwani kufanya hivyo munajisababishia matatizo yasiyokuwa ya ladhima.
Ni hivo tu.