hussein boxer
JF-Expert Member
- Dec 21, 2013
- 832
- 335
Habari zenu wakuu? naomba kuuliza hivi kwa nini mwanamke akimtongoza mwanaume jamii inayomzunguka humchukulia vibaya?
Habari zenu wakuu? naomba kuuliza hivi kwa nini mwanamke akimtongoza mwanaume jamii inayomzunguka humchukulia vibaya?
hilo ni jambo la kawaida kama nampenda mtu kwa nini nikae nalo rohoni
Ubaya gani, kwani sie hatuna hisia
Mi nasema tutaendelea kuwatongoza tu....
Hivi leo ni jumangapi kweli?
leo jumanne, jumamosi lazma nitongoze mtu nahisi nimezama kwenye dimbwi la mahabaHivi leo ni jumangapi kweli?
inamaana wewe unaishije maswari gani hayo unauliza?
kwani kibaya kipi hapo acha kumind vitu vidogo, hivi sahivi ni saa ngapi?inamaana wewe unaishije maswari gani hayo unauliza?
Ni nini hicho?
leo jumanne, jumamosi lazma nitongoze mtu nahisi nimezama kwenye dimbwi la mahaba
siwezi kufa na hisia zangu
Hilo ni swari....
kwani kibaya kipi hapo acha kumind vitu vidogo, hivi sahivi ni saa ngapi?
Bantu lady my dia, twende basi ukanisaidie kutongoZa maana hata sijui wanaanzaga vp