Wanawake kunyeweni mtindi badala ya soda ni tiba

Hellow

Wadada mnahangaika sana kwenda hospital kununua dawa za UTI sugu wengi mnaangaika kununua marashi ili kwabibi kusiteme harufuku ushauri wanguu fanyeni mtindi ndio kinywaji chenu achaneni na soda sijui juice za matunda wewe hakikisha kila siku unakula mtindi kula kama kinywaji chako cha kila siku ilo jasho la kwabibi litakata

Unakuta manzi mrembo afu kwabibi kunatema hii sio sawa ushauri wa bure ata kwa sisi wanaume kama unakijasho kila cha kwapa mtindi unatibu

Kwa wadada mpaka fangus za kwa bibi ukitumia mtindi hazitokusumbua
Mkuu pamoja na kunywa mtindi WAWE WANA KOSHA MAUMBILE YAO KWA MAJI SIO KUJIFUTA NA MAKARATASI BILA KUJISAFISHA KWA MAJI
 
nani kakuambia vaginal secretions zina harufu nzuri?
nachojaribu ni kutaka kukuelimisha maana hayo masuala ya uzazi kwa ujumla nayafahamu kidogo.
Harufu yoyote isiyo ya kukera ni harufu nzuri na yes vagina ina harufu flani natural hivi(nzuri ) ikiwa tofauti na hiyo natural smell sasa ndiyo tunaita harufu mbaya, kuna waliosema kuna harufu mbaya wamekutana nazo kama samaki vile sasa hiyo ni kawaida?
Karibu kwa elimu zaidi
 
Harufu yoyote isiyo ya kukera ni harufu nzuri na yes vagina ina harufu flani natural hivi(nzuri ) ikiwa tofauti na hiyo natural smell sasa ndiyo tunaita harufu mbaya, kuna waliosema kuna harufu mbaya wamekutana nazo kama samaki vile sasa hiyo ni kawaida?
Karibu kwa elimu zaidi
Huwa ina harufu yake ya asili inatufanya wanaume tu enjoy na kuhamasisha stimu kupanda
 
Back
Top Bottom