Wanawake: Kama unataka kuolewa badilika

Wanawake: Kama unataka kuolewa badilika

Mwalimu S

Member
Joined
Sep 20, 2015
Posts
41
Reaction score
33
Hahahaaa...

Hatukatai kuolewa ni haki yako, lakini jiangalie hata staha yako, wewe utakua ni mke gani ndani ya ndoa jamani, toka uzaliwe hukumbuki kanga wala sketi ulivaa lini na kama ulivaa kanga basi ni style ya kanga moja.

Duh! Mtoto wa kike unaishi kama msela we na viduku kutwa kucha alafu eti una ndoto za kuwa mama wa familia, kwa malezi yapi? Tahadhari dada zangu sharobaro haoi kazi yake ni kugusa tu.

Hebu jiweke kama binti mwenye malezi ya pande mbili uone kama hutapendwa, usipokua makini utaishia kuhudhuria send off na harusi za wale unaowaona wanaishi kishamba kila siku.

Ukinuna imekugusa, naomba kutoa hoja
 
Shkamoo mwalimu.
Kama wewe mkristo utakumbuka kuwa kuna neno linasema 'atakupa wa kufanana nawe'. Hata kopo linahitaji mfuniko. Usianze kuhukumu watu kwa mavazi yao. Machizi tu wanaolewaga.
 
Ngoja waje utawasikia "ndoa sio muhimu" huku kimoyomoyo wanatamani.
 
Unawazungumziaje mabinti decent ambao hawajaolewa vilevile
 
Basi kwa kucheza kwaito kwenye harusi za watu hao we! wana staili zao mpya sijui wanashika mabega, wanapiga makofi kidogo halafu sijui wanastua kijoti....
 
Basi kwa kucheza kwaito kwenye harusi za watu hao we! wana staili zao mpya sijui wanashika mabega, wanapiga makofi kidogo halafu sijui wanastua kijoti....
Umenifurahisha sana mkuu. You made it a day for me, loughing!
 
Back
Top Bottom