Wanawake, Jifunzeni kuongea zaidi ya kulalamika

elewa hawa ni viumbe tofauti..... mwanaume aliumbwa kwa mavumbi.... mwanamke aliumbwa kwa ubavu wenye nyama wa mwanaume na mavumbi...... ukianza kumuelewa mwanamke ujue uko kwenye early 68yrs......kulalamika ndo maisha yao......ukichelewa shida,,, ukiwahi taabu.....alimradi ahakikishe anakuweka in life attention.
 
Ndio maana wanawake wa tanga wanapendwa sio sababu ya majamboz ni sababu wana ulimi wa kuongea na mwanaume.
 
Hii tabia ya kulalamika ipo kwa wanawake wengi inafanya wanaume kupoteza upendo..wanaume wengine hutumia muda mwingi bar na hawataki kurudi kwao mapema.
 
ohoo sawa mkuu
 
Jamaa yangu naona umeshajichukulia mmoja hapa Jf hongera, ila pole kwa kupata mlalamikaji
Mkuu nikiandika hivi haimaanishi nimeopoa chombo humu JF, ni elimu tu nimetoa mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…