Wanawake huchochea chuki baina ya mtoto na baba yake mzazi

Wanawake huchochea chuki baina ya mtoto na baba yake mzazi

Think2

JF-Expert Member
Joined
Jan 3, 2025
Posts
2,193
Reaction score
3,957
Mara nyingi mahusiano kati ya baba na mtoto huwa sio mzuri haswa kwa wazazi waliokwisha tengana.

Hili suala nimelifatilia kwa kina kabisa wala sibahatishi, unakuta mama anamsema vibaya baba wa mtoto hii inamjengea chuki mtoto kwa baba yake mwisho mahusiano hasa mawasiliano yanakuwa dhaifu sana.

Wanawake tuwe nao makini sana unaweza kuwa unatuma matumizi lkn bado ukasemwa vibaya na huyohuyo unaemtumia pesa za matumizi ya mtoto.

Wanaume tumeumbiwa mateso sawa lkn wanawake msisababishe ugomvi na watoto wetu .

Kwa mfano kauli kama hizi mbele ya watoto.

Yaan huyu baba ako bila mimi usingesoma chuo?

Watoto tunaowatafutia mwisho wa siku wanaimba nani kama mama wamesahau mateso na maumivu ya baba zao.

Mwisho, wanawake acheni kukochea chuki kuwalisha watoto maneno mabaya.
 
Mara nyingi mahusiano kati ya baba na mtoto huwa sio mzuri haswa kwa wazazi waliokwisha tengana.
Hili swala nimelifatilia kwa kina kabisa wala sibahatishi, unakuta mama anamsema vibaya baba wa mtoto hii inamjengea chuki mtoto kwa baba yake mwisho mahusiano hasa mawasiliano yanakuwa dhaifu sana.
Wanawake tuwe nao makini sana unaweza kuwa unatuma matumizi lkn bado ukasemwa vibaya na huyohuyo unaemtumia pesa za matumizi ya mtoto.
Wanaume tumeumbiwa mateso sawa lkn wanawake msisababishe ugomvi na watoto wetu .
Kwa mfano kauli kama hizi mbele ya watoto
Yaan huyu baba ako bila mimi usingesoma chuo??
Watoto tunaowatafutia mwisho wa siku wanaimba nani kama mama wamesahau mateso na maumivu ya baba zao.
Mwisho, wanawake acheni kukochea chuki kuwalisha watoto maneno mabaya.
Cc: Dkt. Gwajima D mheshimiwa waziri zungumza kidogo juu ya suala hili kwa watanzania waliopo hapa jf na wananchi wote kwa ujumla
 
Atajuaje wkt muda mwingi anaishi na mama ake
Unapotoa pesa ya matumizi, hakikisha inapitia kwenye mikono ya mtoto wako hata kama ana mwaka na nusu.

Jenga huo utaratibu itakusaidia sana mzee.

Kila senti unayotaka kuituma, hakikisha unaipeleka mwenyewe ikiwa cash, kisha mkabidhi mtoto na umwambie mpe mama yako, hata mama akiwa mbele yake.
 
Hii ni changamoto kubwa sana, haya ni madhara hayawezi kuisha wala kuepwa.

Na kwa bahati mbaya hata eneo kubwa la madhehebu wamefumbia macho, sababu wengi wa waumini wao ni kinamama ambao wanaogopa kuwagusa sababu wataondoka humo kwa 'baba', 'nabii' au 'mtumishi'

Dunia inaelemewa na uzito ambao wapo wanaoweza kuushusha ila na wao wanaona ni fulsa kubwa kwao.

Kikubwa wanaume tujaze na kutunza ghara zetu kwa ajili ya uzeeni, dunia imekwisha geuka na hatuna pa shikilia.
 
Mara nyingi mahusiano kati ya baba na mtoto huwa sio mzuri haswa kwa wazazi waliokwisha tengana.
Hili swala nimelifatilia kwa kina kabisa wala sibahatishi, unakuta mama anamsema vibaya baba wa mtoto hii inamjengea chuki mtoto kwa baba yake mwisho mahusiano hasa mawasiliano yanakuwa dhaifu sana.
Wanawake tuwe nao makini sana unaweza kuwa unatuma matumizi lkn bado ukasemwa vibaya na huyohuyo unaemtumia pesa za matumizi ya mtoto.
Wanaume tumeumbiwa mateso sawa lkn wanawake msisababishe ugomvi na watoto wetu .
Kwa mfano kauli kama hizi mbele ya watoto
Yaan huyu baba ako bila mimi usingesoma chuo??
Watoto tunaowatafutia mwisho wa siku wanaimba nani kama mama wamesahau mateso na maumivu ya baba zao.
Mwisho, wanawake acheni kukochea chuki kuwalisha watoto maneno mabaya.
Naunga mkono hoja
Ingawa bimkubwa mapenz yake baba haez
 
Mara nyingi mahusiano kati ya baba na mtoto huwa sio mzuri haswa kwa wazazi waliokwisha tengana.
Hili swala nimelifatilia kwa kina kabisa wala sibahatishi, unakuta mama anamsema vibaya baba wa mtoto hii inamjengea chuki mtoto kwa baba yake mwisho mahusiano hasa mawasiliano yanakuwa dhaifu sana.
Wanawake tuwe nao makini sana unaweza kuwa unatuma matumizi lkn bado ukasemwa vibaya na huyohuyo unaemtumia pesa za matumizi ya mtoto.
Wanaume tumeumbiwa mateso sawa lkn wanawake msisababishe ugomvi na watoto wetu .
Kwa mfano kauli kama hizi mbele ya watoto
Yaan huyu baba ako bila mimi usingesoma chuo??
Watoto tunaowatafutia mwisho wa siku wanaimba nani kama mama wamesahau mateso na maumivu ya baba zao.
Mwisho, wanawake acheni kukochea chuki kuwalisha watoto maneno mabaya.
Ndio unajua leo
 
Watoto huwa wanaamini wanachokiona kuliko wanachosimuliwa.
Kama unatuma pesa bhasi jitahidi Uwe present kwenye maisha ya mwanao yani vile vitu ambavyo ni vya msingi kwa mwanao hakikisha unashughulika navyo.

Hiyo itasaidia kama mama atasema wewe ni mbaya lakini mtoto atakumbuka ile siku ulipoenda shuleni kwao, Ile nguo uliyonunua, ada uliyolipa , siku mliyotoka pamoja ukamlisha hata kama ni chips tu. Na kama upo mbali bhasi mtume hata ndugu yako akayafanye

Kiuhalisia hizo moments ambazo wanaume tunazidharau ndio msingi haswa wa kujenga bond ambayo hakuna sumu itaweza kuivunja
 
Singo Mama ni wakoroga sumu wazuri , fanya ufanyavyo Beba mtoto wako ukamlee mwenyewe , ukimuacha kama hajamlisha sumu ataanza kumvalisha nguo ya pink mtoto wakiume.
 
Back
Top Bottom