Ulweso
JF-Expert Member
- May 24, 2016
- 23,119
- 27,934
Aise wengine tunatamani kuwa na wenza muda wote akiwa hayupo kazini yaani ni shida mstaarabu anapata janga sijui kwanini wasikutane wao kwa wao, labda akiwa mbàli na kwao itasaidia, pole sanadharau hipo watu tuna hustle day and night ila hakuna hata siku pole mume wangu najua jinsi gani una tabika kwajili yetu hata kua appreciate, asa na hayo yote unaletewa dharau mwanaume suruali etc yani nakutia makofi