Wanawake hapa kuna ukweli wowote?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
63,449
Reaction score
127,622
Wanasema kwamba.....

Wanaume wa Temeke

  • Wanaongoza kujua kufanya mapenzi japo hawana Pesa
Wanaume wa Ilala
  • Wanaongoza kwa kuwa Wavivu Kitandani pindi wanapokuwa wanafanya Mapenzi
Wanaume wa Kinondoni
  • Wanaongoza kwa Ushamba na hawajui kabisa kufanya Mapenzi ila ni Wahongaji wazuri
Wanaume wa Ubungo
  • Wao hawajui kufanya Mapenzi wala Kuhonga ila wakiwa Vyumbani tu na Wenza wao muda wote wanaulizia tu kama Foleni ya Kimara imeshaanza au Mabasi hayajajaa ili wayawahi.
Wanaume wa Kigamboni
  • Wao kufanya Kwao Mapenzi ni kwenda tu kushinda na Wenza wao / Mademu zao Baharini na kupiga nao tu stori za uwongo na kweli.
Nitashukuru nikijibiwa na ningependa majibu ya kweli kutoka kwa Wanawake hasa mnaoishi / mnaokaa Dar es Salaam juu ya hili nililolisikia muda si mrefu.

Nawasilisha.
 
Wanaume wa kinondoni sio washamba na wanajua mapenzi

Kuhusu kuhonga hapo sina uhakika
Hmm....... You seem to have experience of that ha ha ha ha. [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
sasa hapa inabidi mtu mmoja awe amepitia sehemu hizo zote kukupa majibu...
 
Output za form six ya kizaz hiki zinazidi kujaa mtaani, na hivi mikopo hakuna siki hizi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…