LadyAJ
JF-Expert Member
- Oct 21, 2015
- 7,173
- 9,656
Nafikiri upo nje ya mada mkuu habari za kukojoza au kukojozwa sidhani kama ndo dhumuni La mtoa postKwani na yy hakukojozwa??
Nafikiri upo nje ya mada mkuu habari za kukojoza au kukojozwa sidhani kama ndo dhumuni La mtoa postKwani na yy hakukojozwa??
Wewe kama huipati raha unanunua chungu ya nn, kaa na dushe lako uone kama kuna mwanamke atakuja akukabe umtoleeKumbe raha nyingi mnapata nyinyi??
Acha ukuda..Nafikiri upo nje ya mada mkuu habari za kukojoza au kukojozwa sidhani kama ndo dhumuni La mtoa post
Hahahahaha km namuina alivyokua mdogo km piritonJana nimemsema binamu yangu hadi kamrudishia Ex wake simu.
Ni ushamba uliopitiliza kumnyang'anya mtu vitu mlivyopeana kisa mumeachana.
Mwambie km yy anaroga nchi kavu wewe unaroga baharinibora huyo ..
mimi x wangu mpaka kesho kutwa sijamthibitshia kama tumeachana ,japo tumeachana
kwa sababu ni anapiga simu za vitisho
mara ntakuroga usizae/usiolewe uwe kichaa
mara ntakutumia watu
mara utakoma ..ukiuliza ntakoma nini anakwambia subiri uone..
basi tabu tupu
watu wanadai mpaka chupii...
utasikia kijeba kina bweka, unaikumbuka ile bikin ya pink ile... naiitaji kesho niikute! nitampa ata dada anguu!
joke!!






Hi my baby,za loooooong time?ww ni bikira wa kisukuma?
Sipendi tabia ya ujuaji mwingi mimiEasy Easy easy Meen
Hivi hawa vijana wa kihuni aina ya ufyudhi wanatoka wapi JF? Kukosolewa ndio ukuda? Wewe ni nani hata usikosolewa, soma uzi vizur ni wapi kuna dada amedai kulipwa!? Lengo La Uzi ni kuwaamsha kina dada wanaonunuliwa vitu na wapenz wao na baada ya penz kufa kuna baadhi ya wanaume huwanyang'anya vitu, mtoa Uzi amelenga kuwazindua hawa wadada, sasa sijui wewe umeyatoa wapi hayo mawazo yakoAcha ukuda..
unapajua nje ya mada wewe??
sasa uyo dada anayedai alipwe kwa kutoa papuchi kwani yy alikua hainjoi??
acha uboya
Hapo ndo umekuja kistaarabu sasa..Hivi hawa vijana wa kihuni aina ya ufyudhi wanatoka wapi JF? Kukosolewa ndio ukuda? Wewe ni nani hata usikosolewa, soma uzi vizur ni wapi kuna dada amedai kulipwa!? Lengo La Uzi ni kuwaamsha kina dada wanaonunuliwa vitu na wapenz wao na baada ya penz kufa kuna baadhi ya wanaume huwanyang'anya vitu, mtoa Uzi amelenga kuwazindua hawa wadada, sasa sijui wewe umeyatoa wapi hayo mawazo yako
JITATHMINI NA KISHA UJIPE JIBU KUWA MIMI NA WEWE BOYA NI NANI?
Hahaha kma wanaweza wajipe utamu wenyewe
Mwanamke kama were ndo "dizaini"ya Wajapani. Kila gharama huwa wanachangia hakuna cha nani kaanza kumtekenya mwenzake ila kwa bongo mbeba zege analipia kila kitu hata kama KE ana kipato kikubwa.Wanaume acheni upumbavu, mngekua mnajua mnapoteza nguvu na hakuna raha mnayoipata msinge tafuta wanawake kwa gharama kubwa,inashangaza sana wanaume wa siku hiz eti raha tunapata wote!! Sawa raga tunapata wote na kwann wewe mwanaume unakua wa kwanza kunitafuta kuitaka iyo raha ambayo kazi unafanya wewe malipo natakiwa kulipwa mie.
Huu ni mnyoosho O.GHivi hawa vijana wa kihuni aina ya ufyudhi wanatoka wapi JF? Kukosolewa ndio ukuda? Wewe ni nani hata usikosolewa, soma uzi vizur ni wapi kuna dada amedai kulipwa!? Lengo La Uzi ni kuwaamsha kina dada wanaonunuliwa vitu na wapenz wao na baada ya penz kufa kuna baadhi ya wanaume huwanyang'anya vitu, mtoa Uzi amelenga kuwazindua hawa wadada, sasa sijui wewe umeyatoa wapi hayo mawazo yako
JITATHMINI NA KISHA UJIPE JIBU KUWA MIMI NA WEWE BOYA NI NANI?
Aisee, nilikuwa sijui kama vina category,sasa si bora hicho kitanda cha laki tatu nilale kwa amani kuliko KITANDA cha 1M cha kunitoa roho? Lol, watu tumetofautiana sanaMjini kuna kitanda na KITANDA baba hahahaaa
Kitanda-ni kile anachochonga fundi seremala wa mtaani kwenu bei yake haizidi laki 3 kwa Dar
KITANDA ni kile kinachotokea maduka makubwa ya furniture na bei yake haipungui 1M kwenda juu sasa sijui unauliza kipi hapo
Ha ha ha ha ha haaa, ni sheedah.ukipita posta, mwenge au morocco jioni unaweza sema maskini peke yangu mjini hapa, watu wanapendeza hadi wanaboa, fuatilia wanapolala sasa