gwijimimi
JF-Expert Member
- Sep 24, 2011
- 7,344
- 3,616
mim kwa uzoefu wangu wa haya mambo wanawake wanaonyonya sio wagumu kutoa uani.
Sio kweli na havihusiani kabisa
mim kwa uzoefu wangu wa haya mambo wanawake wanaonyonya sio wagumu kutoa uani.
Situmii hiyo kitu kabisa na wala sihamasishi. Nimeuliza kwenu wanawake kinyume na maumbile ni uani tu ila mdomoni sio kinyume?
Ya chuo mniachie mimi.
Mdomo ni mbele ya maumbile...
Nimesema kwa uzoefu wangu,inawezekana isiwe kweli kwako.
Ukweli ni kwamba binti au hata mwanaume akishafumuliwa malinda hawezi kuacha kwani zile sperms huenda kuziba kule ndani na hutengeneza uvundo ambao husababisha muwasho kwa kua hambatana na virusi fulani hvo basi muwasho ule humpelekea anaefanya sex kinyume na maumbile kusikia ham ya kukunwa
Kwa akina baba madhara yake ni kusababisha upungufu kama sio kumaliza nguvu za kiume kabisa,,
na niwasihi wanawake kua na maamuzi ktk sex kwa mfano wengi tunawauwa kwa kutojitambua hasa maamuzi juu ya Kondom hadi mwanaume ndie aamue ni wachache wenye uwezo wa kutoa shinikizo juu ya matumizi ya kondom wakt wa kupeana tamtam hiyo iliyo maeneo ya kati
Utasikia mme/mpenzi wangu anataka kuniingilia kinyume cha maumbile, akimaanisha anataka kuingiliwa uani lakini mdomoni ananyonya.
Naomba niwaulize wanawake,uani ni kinyume na maumbile ila mdomoni sio kinyume na maumbile? Je pia kwenu uani ni pa mhimu sana kuliko mdomoni?