Wanawake bwana??!

Crucial Man, na mie nimeona bora kumpa cha kumuumiza aache upuuzi.
Pole sana,wanawake wengi wanatabia hii,the best thing to do ni kumuacha aropoke wee,then unampa makavu,tena ya kumchoma moyo next time anajifunza kusolve disputes amicably.
 

kumbe na wanaume wapo?
 

hahahahah. Purple bwana.
 
Girls talk...
...best mie leo napita tu nasubiri yale mastori yetu...
 
Aisee Swts unge muua kwa pressure dada wa watu!
Daaaah

loya hapo kesi kama izo tunazimaliza ju kwa ju..
Et akaanza oh eti ''dada we ni mwanamke mwenzangu me huyu kaka, nnadet nae miez6 sasa ameplan kunioa,oh plz naomba tumeet..nkamwambia kafie mbele huko,utachezewa utaachwa,na atakudanganya ad ukome,maana mi kila kitu kuhusu wewe nakijua,. So nakushanga!! Yani nahisi alilalia drip za kwinini!!
 
Last edited by a moderator:

Lakini mbona draft haioneshi msg inaenda kwa nani ndo mana inakuwa draft otherwise ingekua sent.. ilikuaje akupigie ww wakat msg haionesh inaenda kw nani?
 
Lakini mbona draft haioneshi msg inaenda kwa nani ndo mana inakuwa draft otherwise ingekua sent.. ilikuaje akupigie ww wakat msg haionesh inaenda kw nani?

mie nahisi inategemea na aina ya simu. Coz mine shows.
 
pole.
ila hapa nime cheka hadi watu wameshangaa. seriously Karucee kuwa mwangalifu mafiaa ni hatariii sanaa, hasaaa female mafia lol.
mi ni mafia nitakufanyizia kuwa mwangalifu.
 
Last edited by a moderator:
Hahaha mkuu Mafia bongo hii, tena asiyejua Draft Msg ni kitu gani...

pole.
ila hapa nime cheka hadi watu wameshangaa. seriously Karucee kuwa mwangalifu mafiaa ni hatariii sanaa, hasaaa female mafia lol.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…