Wenye mapovu weng nahisi kama imewagusa vibaya mnoo...
#MTAZAMO TUU
hahaha mama la mama; unacheza kote koteAfu ukute na wewe kibushuti,mweusiiii tiiiii na kitambi juu+matege jomoniii...afu huna hela,una uwalaza😫..aseee na Mungu akakubariki kibamia pori😩😩 sijui kama utaona thamani ya maisha... lol
Naona hili jiwe litamdungua ipasavyo!Ni kweli ni mweusi, kwani kuna mwafrika mweupe? Huyo atakua mzungu aliehamia afrika. Kitambi sina kabisa, matege sina, nina hela ambazo sidhani kama kuna mtu kwenye ukoo wenu atakua nazo. Sihitaji baraka za kitu chochote. Maisha yangu ni matamu sana.
Yani kukataa wanawake wa aina hiyo ndio nikose furaha kwenye maisha? Hahahaa. Short chasis kama wewe na tumbo kubwa kaa mbali na mimi.
Me popote kambi,..ukinikuta mitaa flan utasema mama la mama VVIP bongo nimekuja kutalii tuu...na kuna mitaa tukikutana aseee😂😂😂😂utatoka barutiihahaha mama la mama; unacheza kote kote
ushuwani upo uswahilini upo pia.
🤣🤣🤣🤣🤣mwenye hela hana majibu marefu kama wewe bhanaa...we kubali tuu ni kibushuti kwani shin'ngapi...Ni kweli ni mweusi, kwani kuna mwafrika mweupe? Huyo atakua mzungu aliehamia afrika. Kitambi sina kabisa, matege sina, nina hela ambazo sidhani kama kuna mtu kwenye ukoo wenu atakua nazo. Sihitaji baraka za kitu chochote. Maisha yangu ni matamu sana.
Yani kukataa wanawake wa aina hiyo ndio nikose furaha kwenye maisha? Hahahaa. Short chasis kama wewe na tumbo kubwa kaa mbali na mimi.
Kweeeendraaaa😂adunguke nani??chee!!!Naona hili jiwe litamdungua ipasavyo!
hahaha aisee; wacha niendelee kujificha tuMe popote kambi,..ukinikuta mitaa flan utasema mama la mama VVIP bongo nimekuja kutalii tuu...na kuna mitaa tukikutana aseee😂😂😂😂utatoka barutii
ushindwe kwa jina muumba wa mbingu na nchiUnamaanisha "Twa mbombo"
Kweeeendraaaa😂adunguke nani??chee!!!
ushindwe kwa jina la muumba wa mbingu na nchiUnamaanisha "Twa mbombo"
🙃🙃🙃Mimi lazima nisupport thread maana ina ka ukweli ww unaonaje?
Usiogope bwanaa,..nitakuwa kama vile umewaza😊hahaha aisee; wacha niendelee kujificha tu
Single mother endeleeni kujifariji tu.ukikua utabadilisha mawazo mwanamke ni zaidi ya ulivyo vitaja.
Naona unajipalilia chaka ili Ke wajazane pmAcha ufala wakufananisha wanawake naupumbavu wako wapunyeto... Wanawake niwatamu bana haijarishi mfupi, mnene au single mother
Basi endelea kuamini hivyo ila bottom line ni kwamba short chasis and single mom kama wewe kaa mbali na mimi.🤣🤣🤣🤣🤣mwenye hela hana majibu marefu kama wewe bhanaa...we kubali tuu ni kibushuti kwani shin'ngapi...
siwezi ogopa bana, wewe ndiyo huwa wajibanza.Usiogope bwanaa,..nitakuwa kama vile umewaza😊