SOGHOO
JF-Expert Member
- Mar 25, 2015
- 1,268
- 568
Endelea kutafuta kwenye mitandao lakini nakuhakikishia utapata mtumba kwisha kazi. Mwanamke aliyezaa bado hajaolewa inamaanisha wengine wote wamemjua na wamemshindwa.
Ushauri wa bure. Nenda kwenu ukapate jiko la maana la sivyo njoo huku Same upate mtoto wa kipare mwenye maadili ambaye hajawahi kuguswa, utafungua duka mwenyewe.
Ushauri wa bure. Nenda kwenu ukapate jiko la maana la sivyo njoo huku Same upate mtoto wa kipare mwenye maadili ambaye hajawahi kuguswa, utafungua duka mwenyewe.