Wanawake aisee, dah!!!

Kuna kituo fulani cha radio ya dhehebu fulani...kila nikifungulia nasikia wanajadili mwanamke.πŸ™‚πŸ™‚
 
kwanza wanaume kichwa ngumu tuna namna nyingi ya kuikabili sononaπŸ˜‚πŸ˜‚
 
Masaa 24 yamepita tangu nimpe siri yangu yule Bi' dada.
Kwaiyo kesho asubuhi habari zangu zitachapwa kwa wino mweusi wa herufi kubwa na kugawiwa mtaani, ngoja nimuwahi.
 
Nachukiaga nimwambie demu we mzuri halafu ajibu "asante" ☹️ Mazungumzo yanakosa muendelezo..
 
HeheheheπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒ...kumbe ndo mnavyotaka, hao labda watoto wa shule ndo wakufanya hivyo
Kwahiyo nyie mnavyojibu kwa mkato tu "asante" mnakua hamtaki tena mazungumzo au? Inakata stimu..
 
Mwanamke unaweza ukamnyanyasa, ukamtesa, ukamuonesha umalaya, akavumilia muda mrefu.
Ila siku akisema nimechoka naondoka πŸ˜„πŸ˜„
Aisee usitegemee atarudi/kugeuka nyuma.

Utaleta viongozi wa dini,wezee, marafiki, viongozi wa sirikali ila kama jibu litabaki pale pale ni hapana

Sio wote wako hvyo ila wengi wanamsimamo na uvumilivu,tofauti na wanaume ndiyo hapana hapana ndiyoπŸ˜„πŸ˜„πŸ˜³πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„
 
Ila huko aendako akikutana na makorokocho makali kuliko alikotoka, HUWA WANAJUTA HATARI
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…