Wanawake acheni hii tabia, Inakera

Yani kumbe sio binaadamu??? Au ??
Kama wametoka ubavuni mwa binaadamu mwanamume aliyeumbwa kwa udongo kisha yeye akatolewa kwenye ubavu wake huyo atakuwaje binaadamu kamili

Ikiwa wewe unaona bora ule kongoro kuliko supu ya mbavu tupu

Mbavu thamani yake hipi hapo?
 
Hata kuku ana maringo(atakimbia wee mpaka apatwe ndio mambo bam bam) sembuse binadamu(mwanamke)
Ndo muanze kututangazia? Kwani hamuwezi kukausha?
 
stunter naona yamekukuta wasiowapenda ndio wanaenda kuwasemea
wanaowapenda na kukwichi kwichi nao wanakula kimya kimya
Yani ni pasua kichwa kwakweli,
 
Wasiponyooka natupia jiwe jengine, hadi wakae sawa
 
Kama wametoka ubavuni mwa binaadamu mwanamume aliyeumbwa kwa udongo kisha yeye akatolewa kwenye ubavu wake huyo atakuwaje binaadamu kamili

Ikiwa wewe unaona bora ule kongoro kuliko supu ya mbavu tupu

Mbavu thamani yake hipi hapo?
Aisee wakija wakikusikia watakushambulia...
 
Tatizo mnakutana na wasichana halafu mnakuja kutupa lawama kwa wanawake, au ndo kusema ukubwa jalala!!! Ifike mahali muwasome kisaikolojia hawa wasichana, atakavyoitika salamu yako inatosha kujua niendelee na mtongozo au niache
Sakayo Tangulini mwanamke akaeleweka? Hebu tuambie tutumie formula gani kuwaelewa?
 
Mkuu una maneno ya ukweli
 
Hapo kuna ukweli mkuu!!
 
Wacha weee... Kwa huu muono ulionao inaonyesha dhairi wewe sio wa miaka hii, muono adimu sana huu dada.

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…