Kaizer
Platinum Member
- Sep 16, 2008
- 25,320
- 17,823
Hahahaaaaa kutwaa vijiweni kuhesabu magari na kuongelea makalio ya wanawake wakati hata hela ya mbuni hawajaacha mezani! Mfyuuuuuuu
Kwani hawanaga makalio au? Hahaha
Hahahaaaaa kutwaa vijiweni kuhesabu magari na kuongelea makalio ya wanawake wakati hata hela ya mbuni hawajaacha mezani! Mfyuuuuuuu
Eeee akweeendreeer sura nzito ka uji wa jana,na sasa hivi akianzisha kiuzii tunaee mpaka awe na adabu
Leo sio siri umenichekesha atii...
Haya ngoja niwaache muendelee kumwaga vitenzi vikurupushi...
enhenhenhe vishowia wana sifa za harage mbele na nyuma kote hakujulikani!
Hivi ile date yetu tuliipanga lini?Mimi binafsi nikimuona msichana ana nyoodo sana na hajaolewa
kimoyo moyo huwa nasema subiri uolewe......
wanawake wengi walio olewa hujikuta tu busara from experience.....
wengi wanaosema hili never litakuja nitokea....wanassema wakiwa single..
wakishaolewa huitaji hata kuwauliza.....sura zao zinaonesha kila kitu
ni rahisi kuhukumu watu ukiwa kwa nje.....but ukishaingia ndani ndo unaelewa....
Kwani hawanaga makalio au? Hahaha
Mwanaume ukimuona ana wayawaya km jogooo...!!!!
ujue han nyimbo hana mambo
hana lolote yupo yupo tu km jibwa koko
hilooooooo...!!!!!!!
auwezee wapi nae jogoo wa kuchora tu hawawiki hawadonoi !Vikurupushii kweliii
naona haji leo kiherehere mfukoniii kama hani..thi vile uchi wa mwanamke umemshinda
Huyo ni KE Mkuu..mke wa haja, na mtaalam wa haja. Unajua maana a Fixed Point? Tuulize sisi wa muda mrefu apa jamvini. Sasa angalia usijeuliza jinsia ya Kongosho maana umeshaijua.
sura kilo nane kama mzani wa mashine
mmmmh! Maneno makali halafu machafu kwann?
Hapo ndio utagundua kila mtu anakichaa ila kuna wakat vchaa vnapoa na kulipuka hapa kwako naona kabisa kimeshawaka hali tete
mmmmh! Maneno makali halafu machafu kwann?
Hapo ndio utagundua kila mtu anakichaa ila kuna wakat vchaa vnapoa na kulipuka hapa kwako naona kabisa kimeshawaka hali tete
matatizo ya wanandoa yanatatuliwa/suluhishwa na wanandoa wenyewe,mi sijui yaani uko radhi kusasambua matatizo yako kwa marafiki kuliko sisi tusiokujua???? hapa unashauriwa then kila mtu na hamsini zake lakini marafiki watakutangaza tu
Uje kumpa kampani Kaunga kwenye meza ya mbaaaaliiiiiiiiiNa mimi nije
bora hata wewe umeweza kushangaa, yaani mimi hata kushangaa nimeshindwaNimeshangaa tu mie, mbona huyu binti ni mazare kabisa hata michango yake?
Mdogo wangu tutakurudisha kumpitimbi...... naona uzaramoni kunakupeleka kubayabora mzani wa mashine kuna siku unapima pamba japo utang'aa kwa weupe!
hawa sura zao nzito kama futari ya maghimbi iliyopoa!
Vikurupushii kweliii
naona haji leo kiherehere mfukoniii kama hani..thi vile uchi wa mwanamke umemshinda
Asante dj sokwe kwa kibao hiki Murua..nakidediketi kwa lara 1 miss neddy miss chagga Kasinde popote walipo