Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni ya muda tu, maumivu huisha tu.
Wee subiri ntakapokulipua, ndio utajua Paw ni mdengereko na wewe ni mtoto wa mvuvi.
uuwiiiiiiiii hivi kile cheo cha uteja alianzisha nani humu JF?
mateja wenzangu BAK, snowhite, Arushaone...... sijui kuna niliyemsahau.......? hivi tukiambiwa marufuku kupenda/kupendwa si tunaweza kudisapia hivihivi jamani?
Tunajipenda wenyewe, yes, lakini ukipata mwingine anayekupenda si ndo unakuwa yanga zaidi?
Asante sana rafiki kwa hiki kibao........
Have a good day as well
Subiri kwanza pazia la hekalu lipasuke.....
Hivi hii ndio thread niliyoiacha jana au macho yangu tu?
Yaani best najitahidi kuinjoy to the max....... kwa nini kujinyima!!!!!!shangaa aisee. yaani maishani you should never say never. moyo ukivunjwa lazma kuna mganga wake, sasa kukata tamaa si dhambi jamani? hahaha uteja wa kudumu unahusika. kupendwa na kupenda ni raha, enjoy best
kama wenyewe hampo tayari kuyasuluhisha mtu wa mbali atayatuliza tu kwa muda then yatalipuka tenanajua ila kuna kipindi maji yanafika shingoni sasa ukiona imeshindikana usisubiri yakuzoe wakati mtu wa nje anaweza kukupa kamba ujiokoe
Tunamsubirii ajee ale kekiii tumnyweshe na shampein yo yo yoooooooii pyeeeeeeeeeeeeee sura kama makalio ya mganga wa kienyeji,
Calm down dear....!!!
Siku zote mjinga ni mtu wa kumpuuzia, maana mtu mjinga huwa hana thawabu katu.
Heeeeeeee halo mazaaa si bora uje uwe mke mwenzangu tushee nnachoshea mie, kinachoniliza usiku mie kuliko kuolewa na kimwanaume kipo kipo tu hakitazamikii, REALITY SIO MWANAUME WE NI MDAFADA TU MLAINI TU,
kama wenyewe hampo tayari kuyasuluhisha mtu wa mbali atayatuliza tu kwa muda then yatalipuka tena
Ntake radhi ticha...teeeh! Mie mdogo wako? Anyways, huo ndo ukweli kuwa aliyeumba ni Mungu na wote tumeumbwa kwa mfano wake, na kila alichoumba ni chema.
Huyo bidada namuonaga mbaya jamani sijui kwanini
Kuweni wapole na msikate tamaa dada zangu 30yrs Rizki zenu zipo njiani mbona mama yake Monalisa Bi NATASHA KAOLEWA MZEE maana hadi Mjukuu kaona ndoa ya Bibi.
Sent from my iPad Air using JamiiForums mobile app
wewe na demu wako wote scarymovie
Huyo ni KE Mkuu..mke wa haja, na mtaalam wa haja. Unajua maana a Fixed Point? Tuulize sisi wa muda mrefu apa jamvini. Sasa angalia usijeuliza jinsia ya Kongosho maana umeshaijua.