PreGE2025 Wanawake 5,000 Kondoa wafanya matembezi kumpongeza Rais Samia kwa Miradi ya Bilioni 80

PreGE2025 Wanawake 5,000 Kondoa wafanya matembezi kumpongeza Rais Samia kwa Miradi ya Bilioni 80

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
4,393
Reaction score
14,500
Zaidi ya wanawake 5000 kutoka wilaya ya Kondoa Mkoani Dodoma wakiongozwa na mkuu wa wilaya hiyo Fatma Nyangasa wamefanya matembezi maalum ya kumpongeza Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzanja Dkt Samia Suluhu Hassan kutokana na utekelezaji wa miradi mbalimbali iliyoghalimu zaidi ya 80 Bilioni na kwenda moja kwa moja kutatua changamoto zilizokuwa zinawakabili wananchi kwa muda mrefu.

Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Akizungumza baada ya matembezi hayo DC Nyangasa amesema kwa kipindi alichukuwa madarakani Rais Samia kumeongeza chachu ya maendeleo ikiwemo ujenzi wa shule na madarasa mapya ambayo yamekwenda kutatu changamoto ya wanafunzi kutembea zaidi ya kilomita kumi kwa ajili ya kwenda kuitafuta elimu.

Aidha Nyangasa ameongeza kuwa wanawake wa wilaya hiyo wamekuwa wajasiri kutokana na kupewa thamani, Hamasa ya utendaji kazi,ushupavu na weledi pamoja na ushirikishwaji kikamilifu katika jamii na uongozi wa Rais Dkt Samia Suluhu Hassan ndio sababu ya wao kujitokeza kwa wingi katika maandamano hayo yanayounga mkono juhudi zake.

 
Kondoa ni kati ya sehemu masikini haswa, warangi wengi ni wajinga haswa, Kondoa wachaga wamejaa wanapiga pesa warangi wanafanya ngono tupu na ushirikina.
 
Zaidi ya wanawake 5000 kutoka wilaya ya Kondoa Mkoani Dodoma wakiongozwa na mkuu wa wilaya hiyo Fatma Nyangasa wamefanya matembezi maalum ya kumpongeza Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzanja Dkt Samia Suluhu Hassan kutokana na utekelezaji wa miradi mbalimbali iliyoghalimu zaidi ya 80 Bilioni na kwenda moja kwa moja kutatua changamoto zilizokuwa zinawakabili wananchi kwa muda mrefu.

Akizungumza baada ya matembezi hayo DC Nyangasa amesema kwa kipindi alichukuwa madarakani Rais Samia kumeongeza chachu ya maendeleo ikiwemo ujenzi wa shule na madarasa mapya ambayo yamekwenda kutatu changamoto ya wanafunzi kutembea zaidi ya kilomita kumi kwa ajili ya kwenda kuitafuta elimu.

Aidha Nyangasa ameongeza kuwa wanawake wa wilaya hiyo wamekuwa wajasiri kutokana na kupewa thamani, Hamasa ya utendaji kazi,ushupavu na weledi pamoja na ushirikishwaji kikamilifu katika jamii na uongozi wa Rais Dkt Samia Suluhu Hassan ndio sababu ya wao kujitokeza kwa wingi katika maandamano hayo yanayounga mkono juhudi zake.

Hakika, Kondoa ni kama Dubai sasa!!
 
Aisee dah, tusomeshe Sana vijana wetu, ndugu zetu ili wasiwe wajinga.

Wasome waelimike na kuwa na maarifa tele ili waache kutumika kwa manufaa ya wajinga.

Sijawahi kuona Waarabu pale UAE wakiandamana kumpongeza Sheikh Makhtoum kwa kuifanya Dubai kuwa nzuri na yakupendeza.
 
Aisee dah, tusomeshe Sana vijana wetu, ndugu zetu ili wasiwe wajinga.

Wasome waelimike na kuwa na maarifa tele ili waache kutumika kwa manufaa ya wajinga.

Sijawahi kuona Waarabu pale UAE wakiandamana kumpongeza Sheikh Makhtoum kwa kuifanya Dubai kuwa nzuri na yakupendeza.
Nchi haijengwi na mtu mmoja nchi inajengwa na wananchi, sisi nchi yetu ina wapumbavu wengi sn
 
Hivi ni kweli kondoa inaweza kukusanya wanawake elfu 5 kwa kale kamji kweli?

Si mpaka waungane kuanzia wilaya ya chemba mpaka ufike bereko ndio unaweza kupata hiyo idadi?
 
Zaidi ya wanawake 5000 kutoka wilaya ya Kondoa Mkoani Dodoma wakiongozwa na mkuu wa wilaya hiyo Fatma Nyangasa wamefanya matembezi maalum ya kumpongeza Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzanja Dkt Samia Suluhu Hassan kutokana na utekelezaji wa miradi mbalimbali iliyoghalimu zaidi ya 80 Bilioni na kwenda moja kwa moja kutatua changamoto zilizokuwa zinawakabili wananchi kwa muda mrefu.

Akizungumza baada ya matembezi hayo DC Nyangasa amesema kwa kipindi alichukuwa madarakani Rais Samia kumeongeza chachu ya maendeleo ikiwemo ujenzi wa shule na madarasa mapya ambayo yamekwenda kutatu changamoto ya wanafunzi kutembea zaidi ya kilomita kumi kwa ajili ya kwenda kuitafuta elimu.

Aidha Nyangasa ameongeza kuwa wanawake wa wilaya hiyo wamekuwa wajasiri kutokana na kupewa thamani, Hamasa ya utendaji kazi,ushupavu na weledi pamoja na ushirikishwaji kikamilifu katika jamii na uongozi wa Rais Dkt Samia Suluhu Hassan ndio sababu ya wao kujitokeza kwa wingi katika maandamano hayo yanayounga mkono juhudi zake.

Kama ambavyo wanahaki ya kufanya matembezi Hata wakosoaji nawo wawe na haki hiyo
 
Kondoa ni kati ya sehemu masikini haswa, warangi wengi ni wajinga haswa, Kondoa wachaga wamejaa wanapiga pesa warangi wanafanya ngono tupu na ushirikina.
Uzuri wa haya maandamano unakuta wanawake 2000 warangi, 3000 wachaga.
Wachaga kwa fursa ni ngumu kumtoa.
 
Haya ni matokeo na mfumo wa elimu yetu...

Hao wakitoka hapo sijui kama wana pesa za kula balanced diet!
 
Nasoma meseji za chuki na wivu. Na zote ni za wanaume
 
Zaidi ya wanawake 5000 kutoka wilaya ya Kondoa Mkoani Dodoma wakiongozwa na mkuu wa wilaya hiyo Fatma Nyangasa wamefanya matembezi maalum ya kumpongeza Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzanja Dkt Samia Suluhu Hassan kutokana na utekelezaji wa miradi mbalimbali iliyoghalimu zaidi ya 80 Bilioni na kwenda moja kwa moja kutatua changamoto zilizokuwa zinawakabili wananchi kwa muda mrefu.

Akizungumza baada ya matembezi hayo DC Nyangasa amesema kwa kipindi alichukuwa madarakani Rais Samia kumeongeza chachu ya maendeleo ikiwemo ujenzi wa shule na madarasa mapya ambayo yamekwenda kutatu changamoto ya wanafunzi kutembea zaidi ya kilomita kumi kwa ajili ya kwenda kuitafuta elimu.

Aidha Nyangasa ameongeza kuwa wanawake wa wilaya hiyo wamekuwa wajasiri kutokana na kupewa thamani, Hamasa ya utendaji kazi,ushupavu na weledi pamoja na ushirikishwaji kikamilifu katika jamii na uongozi wa Rais Dkt Samia Suluhu Hassan ndio sababu ya wao kujitokeza kwa wingi katika maandamano hayo yanayounga mkono juhudi zake.

Kondoa ni moja ya wilaya masikini Tanzania ambayo CCM wananufaika na ujinga wao Kila mwaka wa uchaguzi
 
Back
Top Bottom