Wanavyuo wampongeza Lowassa

Wanavyuo wampongeza Lowassa

MUSUMIFYCOM

Member
Joined
Nov 28, 2012
Posts
55
Reaction score
28
WASOMI VYUO VIKUU WAMPONGEZA LOWASSA.

Ndugu watanzania na wananchi wote , awali ya yote tunapenda kuwasalimu wazazi na walezi wetu.

kwanini WANAVYUO TUNAMUUNGA MKONO mh LOWASSA.?

Mh lowassa amekuwa waziri mkuu wa muda wa miaka mitatu 2005-2008.

ni wazir mkuu ambaye ameacha TAIFA likimukumbuka kwa mazuri aliyofanya ndani ya miaka mitatu, utendaji wake ulionekana.

Na kila kiongozi wa serikali alimfananisha mh EDWARD LOWASSA NA SOKOINE.

KAMA WANAFUNZI WA VYUO, Tumetafakari sana kuhusu sakata la RICHMOND , TUMEGUNDUA YAFUATAYO.

1.lowassa ana busara za hali ya juu sana, alikubali kujiuzuru kwa sababu hakupenda MACHAFUKO YATOKEE NCHINI.

NA AMESEMA WAZI MBELE YA VYOMBO VYA HABARI, RICHMOND WANAOHUSIKA NI VIONGOZI WA JUU YAKE.
hivyo kama wanavyuo tulisema tangu mwanzo nchi yetu inahitaji RAIS jasiri, hodari, mwenye busara hekima, na ambae atafanya maamuzi magumu pale nchi yetu itakapokuwa na changamoto nyingi.
Tunahitaji rais wa TANZANIA sio rais wa CUF, CCM, CHADEMA, NCCR,
TUNAHITAJI RAIS WA JAMHURI MUUNGANO WA TANZANIA.
Tunampongeza lowassa kwa kushuka ktk gari ambayo imejaa wezi , wanajipendekeza wanafiki,na kuungana na WATANZANIA KUDAI UHURU WA KWELI NA MABADILIKO YA NCHI YETU.
ni ukweli usiopingika MH LOWASSA ANAKUBALIKA NA VYAMA VYOTE NCHINI, WATANZANIA WOTE, WAFANYAKAZI, WALIMU NA WATA WAFANYABIASHARA WADOGOWADOGO.
ila tumegundua lowassa akubaliki n wezi wachache ambao hawazidi 30,hapa TANZANIA.
HIVYO BASI TUNAAMIN NI WAKATI SASA WA TANZANIA KUWA NA KATIBA INAYORUHUSU MGOMBEA HURU , KWA SABABU WANACHI TUMECHOKA VYAMA KUTUCHAGULIA RAIS TUNAHITAJI KUCHAGUA RAIS WETU SIO WAO.

TUNA MUUNGA MKONO LOWASSA , KWA MOYO WOTE NA WATANZANIA WANA IMANI NA WEWE.

asanteni.
By katibu mstaafu vyuo vikuu iringa.

Fmusumi.
 
To you the younger generation and leaders of tomorrow, I must tell you, that, Pioneers never live to see or enjoy fruits of their labor, they establish new trails so you can all safely pass through.

We are living in a new era. Era of "New World Economic Order" an era whereby where only the strong survive!

Even though my days have numbered, my struggle for equality between stronger and weaker nations will never stop. My struggle for fairness between nations will never stop. My Struggle for comparative Economic Advantage, and social justice will live on. My fight against corruption will never stop. I will never compromise these principles as long as I live.

I may never live to see my beautiful country enjoy its comparative economic advantage, but my children, my grandchildren and millions of young people in my country, fed-up with lifelong corruption, mismanagement and social injustice will. This is what, I m living for. I am living for Economic and social liberation

Well, this is what pioneers do!


Dr. Wilbrod Peter Slaa,
Keynote Adress: Purdue University,
April, 2015
 
El amejenga shule za kata Ndio zinatupa sababu ya kujidai kila kijiji kuna wasomi
 
WASOMI VYUO VIKUU WAMPONGEZA LOWASSA.

Ndugu watanzania na wananchi wote , awali ya yote tunapenda kuwasalimu wazazi na walezi wetu.

kwanini WANAVYUO TUNAMUUNGA MKONO mh LOWASSA.?

Mh lowassa amekuwa waziri mkuu wa muda wa miaka mitatu 2005-2008.

ni wazir mkuu ambaye ameacha TAIFA likimukumbuka kwa mazuri aliyofanya ndani ya miaka mitatu, utendaji wake ulionekana.

Na kila kiongozi wa serikali alimfananisha mh EDWARD LOWASSA NA SOKOINE.

KAMA WANAFUNZI WA VYUO, Tumetafakari sana kuhusu sakata la RICHMOND , TUMEGUNDUA YAFUATAYO.

1.lowassa ana busara za hali ya juu sana, alikubali kujiuzuru kwa sababu hakupenda MACHAFUKO YATOKEE NCHINI.

NA AMESEMA WAZI MBELE YA VYOMBO VYA HABARI, RICHMOND WANAOHUSIKA NI VIONGOZI WA JUU YAKE.
hivyo kama wanavyuo tulisema tangu mwanzo nchi yetu inahitaji RAIS jasiri, hodari, mwenye busara hekima, na ambae atafanya maamuzi magumu pale nchi yetu itakapokuwa na changamoto nyingi.
Tunahitaji rais wa TANZANIA sio rais wa CUF, CCM, CHADEMA, NCCR,
TUNAHITAJI RAIS WA JAMHURI MUUNGANO WA TANZANIA.
Tunampongeza lowassa kwa kushuka ktk gari ambayo imejaa wezi , wanajipendekeza wanafiki,na kuungana na WATANZANIA KUDAI UHURU WA KWELI NA MABADILIKO YA NCHI YETU.
ni ukweli usiopingika MH LOWASSA ANAKUBALIKA NA VYAMA VYOTE NCHINI, WATANZANIA WOTE, WAFANYAKAZI, WALIMU NA WATA WAFANYABIASHARA WADOGOWADOGO.
ila tumegundua lowassa akubaliki n wezi wachache ambao hawazidi 30,hapa TANZANIA.
HIVYO BASI TUNAAMIN NI WAKATI SASA WA TANZANIA KUWA NA KATIBA INAYORUHUSU MGOMBEA HURU , KWA SABABU WANACHI TUMECHOKA VYAMA KUTUCHAGULIA RAIS TUNAHITAJI KUCHAGUA RAIS WETU SIO WAO.

TUNA MUUNGA MKONO LOWASSA , KWA MOYO WOTE NA WATANZANIA WANA IMANI NA WEWE.

asanteni.
By katibu mstaafu vyuo vikuu iringa.

Fmusumi.

Njaa njaa njaaaaaa,kweli tutaiangamiza nchi!
 
Mpelekee msanii wa kaole, na Kuhani wa mafisadi ujumbe huu...

To you the younger generation and leaders of tomorrow, I must tell you, that, Pioneers never live to see or enjoy fruits of their labor, they establish new trails so you can all safely pass through.

We are living in a new era. Era of "New World Economic Order" an era whereby where only the strong survive!

Even though my days have numbered, my struggle for equality between stronger and weaker nations will never stop. My struggle for fairness between nations will never stop. My Struggle for comparative Economic Advantage, and social justice will live on. My fight against corruption will never stop. I will never compromise these principles as long as I live.

I may never live to see my beautiful country enjoy its comparative economic advantage, but my children, my grandchildren and millions of young people in my country, fed-up with lifelong corruption, mismanagement and social injustice will. This is what, I m living for. I am living for Economic and social liberation

Well, this is what pioneers do!


Dr. Wilbrod Peter Slaa,
Keynote Adress: Purdue University,
April, 2015
 
WASOMI VYUO VIKUU WAMPONGEZA LOWASSA.

Ndugu watanzania na wananchi wote , awali ya yote tunapenda kuwasalimu wazazi na walezi wetu.

kwanini WANAVYUO TUNAMUUNGA MKONO mh LOWASSA.?

Mh lowassa amekuwa waziri mkuu wa muda wa miaka mitatu 2005-2008.

ni wazir mkuu ambaye ameacha TAIFA likimukumbuka kwa mazuri aliyofanya ndani ya miaka mitatu, utendaji wake ulionekana.

Na kila kiongozi wa serikali alimfananisha mh EDWARD LOWASSA NA SOKOINE.

KAMA WANAFUNZI WA VYUO, Tumetafakari sana kuhusu sakata la RICHMOND , TUMEGUNDUA YAFUATAYO.

1.lowassa ana busara za hali ya juu sana, alikubali kujiuzuru kwa sababu hakupenda MACHAFUKO YATOKEE NCHINI.

NA AMESEMA WAZI MBELE YA VYOMBO VYA HABARI, RICHMOND WANAOHUSIKA NI VIONGOZI WA JUU YAKE.
hivyo kama wanavyuo tulisema tangu mwanzo nchi yetu inahitaji RAIS jasiri, hodari, mwenye busara hekima, na ambae atafanya maamuzi magumu pale nchi yetu itakapokuwa na changamoto nyingi.
Tunahitaji rais wa TANZANIA sio rais wa CUF, CCM, CHADEMA, NCCR,
TUNAHITAJI RAIS WA JAMHURI MUUNGANO WA TANZANIA.
Tunampongeza lowassa kwa kushuka ktk gari ambayo imejaa wezi , wanajipendekeza wanafiki,na kuungana na WATANZANIA KUDAI UHURU WA KWELI NA MABADILIKO YA NCHI YETU.
ni ukweli usiopingika MH LOWASSA ANAKUBALIKA NA VYAMA VYOTE NCHINI, WATANZANIA WOTE, WAFANYAKAZI, WALIMU NA WATA WAFANYABIASHARA WADOGOWADOGO.
ila tumegundua lowassa akubaliki n wezi wachache ambao hawazidi 30,hapa TANZANIA.
HIVYO BASI TUNAAMIN NI WAKATI SASA WA TANZANIA KUWA NA KATIBA INAYORUHUSU MGOMBEA HURU , KWA SABABU WANACHI TUMECHOKA VYAMA KUTUCHAGULIA RAIS TUNAHITAJI KUCHAGUA RAIS WETU SIO WAO.

TUNA MUUNGA MKONO LOWASSA , KWA MOYO WOTE NA WATANZANIA WANA IMANI NA WEWE.

asanteni.
By katibu mstaafu vyuo vikuu iringa.

Fmusumi.

team lowasa kazini.

tupunguze njaa kulinda heshima na utu wetu.
 
wanavyuo wa siku hizi wanaofalia suruali matakoni na akili zao vivyo hivyo
 
wanao mchukia ni wafuatao 1) wakurungenzi na ndugu zao walio fukuzwa kwa sakata la kuhujumu mifuko ya sumenti shule za kata 2)baadhi ya watu wa nafiki ndani ya ccm wanao subiri huruma ya kuteuliwa na chama,3)borumanda hawa ni watu wanao sikia na kuamini bila kutafakari mfano hivi una wezaje waziri mkuu kuwa na kampuni hewa rais wako asi jue 4) na baadhi ya watu wa jimbo la nyakato. NINA MKUMBUKA NA NINTEENDELEA KUMBUMBUKA KWA KUASISI MATUMIZI YA ZIWA VICTORIA AMBAYO SHERIA ZA MTO NILE HAZI RUHUSU.
 
Hiyo ...ni kwel mheshimiwa lowasa.....ni chaguo la wengi....

Sio chaguo la wengi bali ni chaguo la wale wachache aliowahonga ili wampitishe kugombea uraisi bila masharti....kura yangu ya uraisi nimeiweka rehani nangojea kauli ya dk slaa....
 
Back
Top Bottom