Wanaumeee...!

Luku 3000 Una taa moja tu?,kodi elf 15000 hiyo room ipoje?
 
Acha kuishi Kwa kukalili mkuu ,Kuna wanaume wanahudumiwa na wanawake ,jilaumu Kwa kuoa mke hohehahe,lazima jasho likutoke.

Vipi waume wa hawa wanawake nao wanaacha matumizi,mama samia ,Tulia ackson,jenister mhagamama nk.?
 
Kazi ipo Bado wa tuma na ya kutolea!
 
Aise pole unaonekana umekorogwa ila sio wewe peke yako tuko wengi ila kuna vitu umesahau
****Sadaka ya kumpelekea Bushiri yule wa Congo aliyefukuzwa Tanzania huko anatucheka sisi Wadanganyika kwa sasa
****Hujaweka kahela ka mchepuko wako
****Hujaweka school fees za watoto hata kama wanasoma shule za kata.Mimi kuna siku nilikaa chini nikaanza kupiga hesabu watoto wangu walianziaga wanaita siku hizi pre 1 halafu prep 2 kisha std1 hadi std 7.
Form one hadi form four.Kisha form five hadi form six.Kisha chuo maana hawakupata mkopo.Nikawajumlisha wote japo sasa wanafanya kazi wawili mmoja ndio yuko chuo wa mwisho.
Nikaanza kujiangalia mbona sasa mimi sio tajiri uwezo huu niliutolea wapi wakati maisha yangu ni ya kawaida.
Nilichanganyikiwa nikaenda kiti kirefu nikamwambia waiter lete moja baridi moja moto kisha malizia ya uvuguvugu akili ikae sawa.
 
Ila wanaume wa jf kuwaelewa aiseee. Inabidi ujiunge na bando la mwezi kila siku.
J3-kataa ndoa, ndoa ni utapeli
J4- usioe mwanamke hasiye na kazi
J5-mke hahudumiwi, wewe sio babaake.
Al-wanaume tujijali wenyewe tu, ukizeeka watoto watakutupa
Ij- wanaume tukifa wanawake hawataweza kuhudumia watoto
Jmos- wanawake Wanawke wanawakeπŸ˜‚πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜(yani hapa threads zote ni wanawake tunapondwa hadi tunakuwa ungaunga)
J2 sasaaaa- wanaume wote wanahudumia familia.
 
Mbona hujaweka nauli ya kila siku kwenda na kurudi/bodaboda?
 
Hayo ni matumizi ya mtu mwenye kipato, huku kijiji.

Maji hatununui tunateka kwenye mashimo ya wazi. Salmonela typyii? Na Amoeba walishatuzoea.

Chanzo cha nishati ni tunafyeka vichaka.
Hakuna maswala ya visimbusi wala ving'amuzi.

Nguo mara moja kwa mwaka, tukivuna mazao, au kipindi cha uchaguzi CCM wakitugawia Tshirts na Kanga sisi tunawapa kura.

Ccm oyeeee
Umaskini oyeeeee
 
Hiyo sadaka yako uwe unaweka hapa JF sisi watumishi tunaiombea sadaka na kukuombea .

Chumba cha 15K inaonekana hapo ulipo ni mkoani .

Matumizi yako ni mazuri Sana sio mbaya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…