Betterhalf
JF-Expert Member
- Dec 20, 2016
- 2,882
- 2,561
Kwa nini utuhukumu wote kwa ujinga wa mtu mmoja ambaye pia hujamtaja na hujaelezea madudu yake?Sitaki kuwa na mwanaume tena kwa maumivu niliyo nayo nimechoka kabisa.
Maumivu ya penzi omba yasikukute sito penda tena bora nitulie tu maisha yasonge basi.
Wanaume mnao jua kupenda mpo kweli
TobaaaaaaaHuitaji sex mashine hata.kidole tu kinatosha tena hapo nje nje tu wala huingizi ndani
So wrong...that's what we call generalization...!Pole hyo hali huuma sana ndo umeshajifunza next time usimpende mwanaume, the more unampenda ndo chance yakuumia ni kubwa sana. Mi nilishaapa nampenda babangu na kaka zangu basi the rest ya wanaume ni zaidi ya ma dog aisee
Ha ha ha haBasi watu mtatoa ushauri kwa kudhani mleta uzi yupo serious...hebu pitieni nyuzi zake zilizopita kwanza.
Sijui kwann siku hizi watu wanapenda kujipa jinsia ambazo sio zao
Exactly... We're flying in the same boat, why generalization?I doubt your thinking capacity and sanity of your mind!
Kuna haja gani ya kutuita mbwa just because some random guy smashed and left you?
Nmekutana na wanawake wengi vilaza na wasiojielewa but haifanyi nigeneralize kwamba wanawake wote hawajielewi.
If you really have a tiny bit of civilization within you, edit your post please. It's too offensive!
Nao unawapenda, nao kuna wanawake wanawatazama kama unavyowatazama kaka na baba wa wenzioPole hyo hali huuma sana ndo umeshajifunza next time usimpende mwanaume, the more unampenda ndo chance yakuumia ni kubwa sana. Mi nilishaapa nampenda babangu na kaka zangu basi the rest ya wanaume ni zaidi ya ma dog aisee
Umemhsabikia kwa hakika yako wakati mwenzio kamweka mwanaume yeyote ambaye ni ndugu yako kwenye kundi la mbwaHakika
Sitaki kuwa na mwanaume tena kwa maumivu niliyo nayo nimechoka kabisa.
Maumivu ya penzi omba yasikukute sito penda tena bora nitulie tu maisha yasonge basi. Wanaume mnao jua kupenda mpo kweli
Hapo nje nje ni maeneo flani hivi napajua.Mie napitishaga dushe Kwa kulichezesha chezesha muda mreeefu,lazima KE azimie Kwa utamuHuitaji sex mashine hata.kidole tu kinatosha tena hapo nje nje tu wala huingizi ndani
Naamanisha kaka wa damu sio hao wengine huko wapita njia
Itategemea, hata hivyo na wewe uangalie upande wako usiwataje tu wanaume lazima kuna sababu ya msingi labda au huenda na wewe ulichangia kwa kiasi flani, banzi huwa halipogi jicho moja tu ni macho yote mawili.Sitaki kuwa na mwanaume tena kwa maumivu niliyo nayo nimechoka kabisa.
Maumivu ya penzi omba yasikukute sito penda tena bora nitulie tu maisha yasonge basi.
Wanaume mnao jua kupenda mpo kweli
Ndo huwa unafanya hivyoHuitaji sex mashine hata.kidole tu kinatosha tena hapo nje nje tu wala huingizi ndani
MH!!Huitaji sex mashine hata.kidole tu kinatosha tena hapo nje nje tu wala huingizi ndani
Madam hajambo?Ndo huwa unafanya hivyo