Wanaume Weusi warefu Pokeeni maua yenu

Hapana ni tofauti
wewe huezi kujiona ila kwa uzi huu mimi nakuchana.

maana kwa mwanamke aliyetulia anavumilia mapungufu ya mwanaume wake ila wewe inaonekana kama hujapata mwenye sifa unazozitaka hapawezi kalika utalala hata na wanaume 1000.

umelala na wanaume wangapi ukapata utafiti wako ni kweli ?

una uhakika wanaume wote warefu weusi wako hivo ?
 
wewe huezi kujiona ila kwa uzi huu mimi nakuchana.

maana kwa mwanamke aliyetulia anavumilia mapungufu ya mwanaume wake ila wewe inaonekana kama hujapata mwenye sifa unazozitaka hapawezi kalika utalala hata na wanaume 1000.

umelala na wanaume wangapi ukapata utafiti wako ni kweli ?

una uhakika wanaume wote warefu weusi wako hivo ?

Shida iko wapi kwan? Yako ama yangu?? Tusipangiane
 
Hey hey jf members

Jamani nina Kama miezi kadhaa tumetengana na baba watoto wangu ni mrefu mweupe still nampenda hadi kesho kutwa, ana kila sifa nzuri ya mwanamke yoyote kuwa nae isipokua UMALAYA PRO MAX

Sasa tulivyotengana nikapata this guy bwanaaah mweusi mrefu ananyoa kipara ana gym body aiseeeee ni fayaaaaaaa jamaa yuko vzr muda wote yuko hooooot its my first time to date a mwanaume mweusiiii jamani kumbe watamu hadi watamu tena mpewe maua yenu (Ila ana gubu kulalamika Kila muda


Ni hayo tu


Nb: muda wowote narudiana na baba watoto wangu, kwake naupooza moyo tu


Siko hapa kuhitaji ushauri wowote, au mwanaume hapanaā€¦ nimekuja kuwapa maua yao tu wanaume WEUSI WAREFU
Id ya kiume hii nimekaa pale
 
Hey hey jf members

Jamani nina Kama miezi kadhaa tumetengana na baba watoto wangu ni mrefu mweupe still nampenda hadi kesho kutwa, ana kila sifa nzuri ya mwanamke yoyote kuwa nae isipokua UMALAYA PRO MAX

Sasa tulivyotengana nikapata this guy bwanaaah mweusi mrefu ananyoa kipara ana gym body aiseeeee ni fayaaaaaaa jamaa yuko vzr muda wote yuko hooooot its my first time to date a mwanaume mweusiiii jamani kumbe watamu hadi watamu tena mpewe maua yenu (Ila ana gubu kulalamika Kila muda


Ni hayo tu


Nb: muda wowote narudiana na baba watoto wangu, kwake naupooza moyo tu


Siko hapa kuhitaji ushauri wowote, au mwanaume hapanaā€¦ nimekuja kuwapa maua yao tu wanaume WEUSI WAREFU
Two Possibilities.
1: Wewe ni malaya unajitangaza.
2: Wewe ndiyo huyo "Mwanaume Mweusi" umekuja kujiandika huku kwa ID ya kike.

Pathetic.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom