Expensive life
JF-Expert Member
- May 2, 2020
- 3,713
- 11,612
Wanaume wenzangu tunatafuta pesa kwa tabu sana, pia tukishapata pesa nazo zitutese kweli?
Hawa wanawake tunaowaita pisi kali ni pasua kichwa, wanaume tukishapata mafanikio tunajinasibu kuwa sasa ndio muda wa kuowa mwanamke mkalii pisi ya kwenda.
Nawakikishia hakuna pisi inayoweza kutulia kwenye ndoa, pisi anachokifuata kwako ni pesa tu, akishafanikisha alichokifuata kwako jiandae kwa vituko mwisho wa siku kama hauna moyo wa kuvumilia au haupo tayari kumuacha utaripotiwa na Millard ayo kuwa umefanya tukio la kutisha.
Hawa wanawake tunaowaita pisi kali ni pasua kichwa, wanaume tukishapata mafanikio tunajinasibu kuwa sasa ndio muda wa kuowa mwanamke mkalii pisi ya kwenda.
Nawakikishia hakuna pisi inayoweza kutulia kwenye ndoa, pisi anachokifuata kwako ni pesa tu, akishafanikisha alichokifuata kwako jiandae kwa vituko mwisho wa siku kama hauna moyo wa kuvumilia au haupo tayari kumuacha utaripotiwa na Millard ayo kuwa umefanya tukio la kutisha.