Wanaume wenye vitambi

Aiseee.... nimeipenda hii
 
Hii safi kumbe kitambi kinapokuja hakiji chenyewe kinakubadilisha hadi na tabia kabisa kwa hiy yawezekana kabla ya kupata kitambi ulikuwa unachukia mademu ila baada ya kitambi we na mademu damu damu...Na ukifanyia mazoez kikaisha na mademu hupendi tena...Interesting research..
 
nina kibosi changu hapa ni kifupi afu kina kitambi ni balaaa...na umesema wafupi wametulia kidogo ila huyu ni moto wa kuotea mbali ...
 
Kuna ka ukweli hapo, maana nami nina kitambi a.ka. mimba kama ya miezi 3, napenda wanawake, mcheshi na nina mtoto nje, MSEMA KWELI MPENZI WA MUNGU..

Heri yako you have decided to tell the Truth.. Now you are Free... Thanks..
 
Nikifanya mazoezi kitambi kikaisha na hiyo tabia inaisha??
Mtu mwenye kitambi ni mtu ambae asili yake anapenda dezo, vitu vitamu, mvivu wa kufikiri na kutenda, ambae kuhusu future haumizi kichwa na ndo maana anakuwa na kitambi(''mvivu wa kufikiri na kutenda'':-kumbuka ubongo huhitaji zaidi ya asilimia 75% ya chakula unachokula sasa kama wewe ni mvivu wa kufikiri chakula hicho kitabadilishwa kuwa fats na hatimae kitambi! ). Anakuwa mzinzi kwa sababu ya tabia ya asili ya kupenda vitu vitamu, na mara nyingi haiwezekani kufanya mazoezi kutokana na hizo tabia za asili za kupenda dezo na mteremko!!..... Kumbuka ninavyosema 'tabia za asili' namaanisha zile tabia za kuzaliwa na mbazo mara nyingi zinakuwa inheritable na ni genetic related!!~And that is the science behind the concept!
 
Naamini unatania..
 
Mambo magumu na makubwa kiasi hicho unayatolea 'statement' simple namna hiyo mkuu???? Are you serious??
Mkuu kumbe upo serious..Basi jaribu kupitia upya notes zako
 
Isee nakubali kuna mzee nipo naye ofisi moja muda wote anakula kokoto isee,yan hatari akinyanyuka kwemye laptop yake lazma avae koti
 
Kwingine umepatia ila sinaga watoto wa nje
 
Vitambi kibongobongo ni ishara ya pesa
so wadada wanaotafuta fursa wanajisogeza huko kiurahisi
wao wanachagua tu
 
Haya..Utanipa feedback
The problem with the world is that the intelligent people are full of doubts, while the stupid ones are full of confidence!......Endelea kuishi na kuitawala JF mkuu!!
 
The problem with the world is that the intelligent people are full of doubts, while the stupid ones are full of confidence!......Endelea kuishi na kuitawala JF mkuu!!
We uko kundi gani mkuu?
 
Yan upo sahihi kabsa!!! ..%
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…