Wanaume wenye sifa na matendo haya hutufanya tukose hamu ya tendo la ndoa

Sawa mkuu,
Ulichoongea kina ukweli na nadhani wahusika wamekusikia sema wenye vibamia hapo hamna namna coz hawawezi badilisha hali zao ni sawa na wanawake wenye flat screen,ni kuvumiliana tu..haha
 
Ongezea hii.waonaojibu "mhh nimesikia" Badala ya kusema "nitakuwekea kwenye account yako" wakati wanapigwa kibomu.unajua vibomu vingine huwa vinatoka ktk ya mechi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
1. Wanaonuka midomoo
Hawa husababisha kupotea kwa hisia za mapenzi ghafla baada ya kusikia harufu mbaya kutoka kinywani wakati wa romance ukitoka hapo lazima uteme mate mwezi mzima.

2. Wenye harufu mbaya ya mwili /kikwapa
Akikukumbatia lazima ukaoge na magadi mche mzima utapuliza marashi ya kila aina nguo ulizovaa lazma ufue na povu la omo maana ukijinusa tu unahisi ile harufu yake ambayo husababisha kichefuchefu.

3. Wenye maandalizi mabaya wakati wa tendo la ndoa
Hawa ni wale wasiojua sehemu muhimu zinazotupa ashki wakati wa tendo la ndoa zaidi ya hapo akiona yeye yupo tayari anakuvamia tu na kuanza mechi wakati mwanamke hajawa tayari

4.Wanaume wanaopenda kuongea maneno ya kejeli katikati ya mechi
Mfano: Mbona haukatiki kiuno
:Mpenzi wako wa zamani anaitwa nani ?
:Mimi na uliyeachana naye nani anakufurahisha

Jaman jaman muwe mnaongea mambo ya kusifia sio kejeli mnatupotezea mizuka ya mechi maneno kama "Baby ongeza kasi ya kiuno my sweety wangu nahisi nipo bustani ya eden"

5. Kutokutufikisha kileleni hufanya tusione raha ya tendo la ndoa hivyo hupelekea tukose hamu ya tendo la ndoa

6. Team vibamia

7. Style za mapenzi mnazotufanyia
Unakuta goli moja lakini mwanaume anakugeuza geuza utazani anachoma nyama ya mbuzi mara miguu juu mara mguu kichwani mara mikono inashika chini mara kichwa juu kushoto kulia kama mnasonga ugali

NB:
Jamani wengine mkitupa mastyle ya ajabu kesho unaamka viungo vyote vya mwili vinauma hasa tusiokuwa na mazoezi kazi zingine tunazofanya hazitupi muda wa mazoezi kuweni wastarabu wakati wa mechi


Rais wa chama cha mabongeeeJf.

Sent using Jamii Forums mobile app
kumbe wewe ni bonge nilidhani kimbaumbau
 
Girls/Women are most odour than Boys/men.
Fact be told mana si kwa huyu panya kafwa niliepambana nae,mathee Wiki nzima nanuka Chuma,ilibidi nijiroweke kwenye Aerial powder soap kwakwel
 
Sasa akiwa ananuka mdomo lkn anapiga mashine fresh na anakufikisha mtt wa kike unainjoi! Utaacha au vp!
 
Mengne sawa, ila nikuulize swali, hv kuna mkata nyama bucha mwenye akili anaona nyama imekaa vizuri ahangaike kuigeuza? Sasa ujue ukigeuzwa tatzo analiona, wewe umejilaza tu kama pumbu zilizopigwa na barid ya nini umtoe mwenzako jasha kula tunda. Ukigeuzwa ujue hukatiki
 
Back
Top Bottom