Jay One
JF-Expert Member
- Nov 12, 2010
- 16,851
- 16,749
... Wanaume wenye kasoro hizi hujikweza sana kwa wanawake kwa njia mbalix2, mfano, msgs, facebook, picha mbalimbli nk...
Kasoro.....
1: Wanaume WAFUPI....
Hawa hawajiamini siku zote.... ni wengi ni wa show off kwa mademu, hasira kwao ni jadi... wanawake wengi huwachukia.... wanajisifia kwa vyote kuficha kutokujiamini
kwao.... ukiwasikiliza utashangaaaa...
2: Wanaume MASKINI ILA ANAPENDA USHAROBARO...
... Hawa sina la kuwaelezea.... utafikiri Jay-Z au P-Diddy
kwa nje.... Ila sasa wajue walivyo utashangaaa, ila wanawalamba mademu wa shapshap ambao hawana serious future relationship.......wanajisifia kuficha HALI YAO HALISI NGUMU....
3: Wanaume wanaojifanya WAJUAJII...
yaani hawa waangalie sana wanataka waonekane wanajua....kila kitu....tena atabishana hata na mtaalamu
wa fani fulani.... YOTE KUFICHA MAPUNGUFU YAO.... YA KUTOKUJUA, labda ana kiwango kidogo cha elimu etc....
4: WANAUME WENYE FEDHA HALAFU MASKINI WA ELIMU....
Hawa hawana tofauti na sharobaro, opposite is true....
Researched & confirmed....!!!
I am done....
Kasoro.....
1: Wanaume WAFUPI....
Hawa hawajiamini siku zote.... ni wengi ni wa show off kwa mademu, hasira kwao ni jadi... wanawake wengi huwachukia.... wanajisifia kwa vyote kuficha kutokujiamini
kwao.... ukiwasikiliza utashangaaaa...
2: Wanaume MASKINI ILA ANAPENDA USHAROBARO...
... Hawa sina la kuwaelezea.... utafikiri Jay-Z au P-Diddy
kwa nje.... Ila sasa wajue walivyo utashangaaa, ila wanawalamba mademu wa shapshap ambao hawana serious future relationship.......wanajisifia kuficha HALI YAO HALISI NGUMU....
3: Wanaume wanaojifanya WAJUAJII...
yaani hawa waangalie sana wanataka waonekane wanajua....kila kitu....tena atabishana hata na mtaalamu
wa fani fulani.... YOTE KUFICHA MAPUNGUFU YAO.... YA KUTOKUJUA, labda ana kiwango kidogo cha elimu etc....
4: WANAUME WENYE FEDHA HALAFU MASKINI WA ELIMU....
Hawa hawana tofauti na sharobaro, opposite is true....
Researched & confirmed....!!!
I am done....