Wanaume Wengine Wakavu Sanaaa! Daaah!


hahaha..hivi hyo tabia inatokeaga eh? Kulipa lodge then binti anakataa kugongwa!

Patachimbika kama pamechimbwa na greda!
 
tena wanawake wa namna hii hawajawahi hata kununuliwa nguo za mtumba na baba zao. Hivi hao wanaume mnaokutana nao mnafikiri wameshushwa? au wana miti pesa? ni wanaume kama kaka zako na baba yako wanapitia changamoto kubwa zaidi yao saa nyingine. Wanawake tufanye kazi, ili ugonjwa wa shoping ukianza tuweze kuuhudumia.
Aibu nyingine sio za lazima.:yell:

ila wanaume wengine, wakavuuuu.... hata ukianza kumpa zawadi yeye hakupiii miaka mia.:disapointed::disapointed:

kama unampenda mpe raha.
 
hahaaa Nimecheka aisee hasa Comment za wakaka wa hum ndani..........

kuna wakaka wabandidu jamani Kha..........
 

Hivi ule msemo wa akina dada walikuwa wanasema "HAPENDWI MTU HAPA ILA POCHI", siku hizi haupo tena?
 

Huu si udaku?????????
 
mwanamke anakwambia nisindikize nikanunue kitu flan, basi ujue unaenda kupigwa mzinga. kama unaenda shopping kwann unakuwa hujipangi? budget yako unaiingiza kwa mwingine. mwanaume yupo sawa kabisa, umepungukiwa na hela ungesema toka mwanzoni ili nikuweke kwenye ratiba zangu
 
usipokuwa kauzu unaweza ukajikuta ukafilisika,maana uchumi huenda ulizingua

Vile vile unaweza kuta hata hiyo hela alokuwa nayo mdada ni mkaka alimpa
 

DAHHH, Mkuu hiyo sasa roho mbaya, yaan unamgegeda mwenzio hafu humtoi hata buku la boda boda.
 
What if msichana ndo kauzu kuliko dagaa?
aliambiwa before kuwa mfukoni sina kitu
akalazimisha tu 'dont worry babe ninazo pesa'
unanisindikiza tu ,ondoa shaka..

wapo wadada 'makauzu mno'
anakubambikia shopping hata hukuzipanga
i refuse kumlaumu huyo mvulana
hujui walitoka vipi huko makwao

what if walikutana njiani tu,?
au ndo kwanza wametongozana?

mjinimipango,na mipango inaanza na bajeti...
 
Usipoangalia wadada wanaweza kukutumia kama remote control, wanabonyeza mda wautakao, wakibonya wanataka channel ingine(japo si wote )
.. mambo ya namna hiyo yanapangwa, sio kukurupuka barabarani, ati honey embu tuingie humu nataka kuangalia kitu..
 
Mtetezi wa haki za wanawake lakini DHANA YA MFUMO DUME IMEKUKAA!!-angeenda shopping mkaka yakamkuta yaliyomkuta mdada sijui ingekuaje...............hopeful normal
 
unaendaje shopping bila hela ya kutosha au ATM card?? inaonekana hakuongea na mchuchu wake kabla ya safari thats y 'kaachwa hewani'. it's her fault
 
hahhahaha, wangeulizana mapema jamani kama wananunuliana au vipi. duh!
 

umenikosha na unanikosha sana kwa kua intellectual(reasoning) hopeful ugonjwa waliorithi akina dada wengi ni mfumo dume...yaani all the time mwanaume anachukuliwa kua anazo
 
ulivyoandika nje nikaingia fasta kujua wanaume wakavu wapi na vipi.... ha aha ah ahaaa!! huo unaitwa ubandidu au labda jamaa mwenyewe ni marioo!! huwezi jua na ngoswe..............
 
Hayo ndiyo madhara ya ratiba za kuchomekeana. Tupange tunakwenda shopping lkn mambo ya baby kuna kitu naangalia sijui madudu gani ni kutaka tu kujiadhiri haswa ukikutana na mkaza sura.
Mkirua, hapo kwenye red tu mi taabani, msiwakazie kiivyo
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…