Wanaume wengi mnajitakia

Status
Not open for further replies.
Oooooh mahabuba huyu ana hasira na mapenzi yetu wacha sisi tumekula yamini. Achana nae.

Sina hasira ndugu, kwani mi nawajua nyie??eh eh!!SIWAJUI. Ngoja nami 'niwaache' mle yamini. Ila sina hasira mkuu.
 
Oooooh mahabuba huyu ana hasira na mapenzi yetu wacha sisi tumekula yamini. Achana nae.

Ana hasira wapi bebe kakulupuka toka usngizini uyoo
 
Ana hasira wapi bebe kakulupuka toka usngizini uyoo

Mpenzi wangu wala usiwe na hofu. Huyu kapita tu na wala sina hasira. Busu langu hilo mwaaaaa!!!
 

Sasa ndo wanitishia nini tena? Wee na 'ukongwe' wako wate huo bado hujajua jinsi ya kukabiliana na watu tofauti awe mgeni au wa zamani? nilichokoment vibaya ni kipi. Haiya nimekusikia ila nawe usitoke povu basi. Ebu kama waweza pitia sred yako tena nilipokoment mimi uniambie nimedandia gari kwa mbele wapi? Madaaam, usiogope watu wapya, tulia.
 
Gadamn kumbe wakati mwingine oblangata inaweza kutoa povu namna hii
 
sigara hata iwe kubwa vipi haiwezi uzidi mdomo...
 
kuna baadhi ya wanaume hupenda kujifanya wanajua sana mambo chum...n...afu kumbe si lolote....na wanaume wa dizaini hii pindi ufikapo chumba....n utakuta wana vibamia.....

mie leo sina hata hamu na wewe mweeeh
 
kwenda kafanye assignment huko. mambo ya vibamia na shule wapi na wapi? utadisco

Yan wewe kama ni aina ya mbuu basi ww ni mbung'ooo......vyuo vimefungwa wee wa wap na kibamia chako......kibamia 1
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…