okoyoko
JF-Expert Member
- Jun 15, 2014
- 2,664
- 3,653
Habarini wanajamvi,
PART 1
Sio siri nkiangalia asilimia kubwa ya mahusiano yani wanaume ndo wanakuwa wananyonywa (wanachunwa) zaidi, like kwanini wanaume wawe ndo wao tu wa kutoa hela, kama wote mnapendana kweli na mna kipato ambacho ni more or less the same IWEJE mwanaume awe ni mtu wa kutoa tu halafu mara nyingi hela wanayohongwa wanawake hawaifanyii kitu cha maana zaidi ya saluni na kununua simu kali, hlf yani mpaka mwanamke akupe hela yake duuuh ni kazi.
Hata kwenye maandiko ya Biblia katika kitabu cha Mwanzo Mungu alimuumba mwanamke ili amsaidie mwanaume, sio kumnyonya (kumchuna) mwanaume kifedha, na wanawake wengi wana take advantage ya cultural stereotype kwamba mwanamke ni wa kupewa tu. Sasa mimi nashangaa wanaume wengi akishikwa kitambi tu laki moja imemtoka, lakini hajiulizi kama huyo mwanamke anayemshika kitambi anampenda au la (kwa kifupi wanaume wengi wanafikiria kwa kutumia genitals zao na sio ubongo).
PART 2
Utakuta mwanaume anamganda demu mpaka utamuonea huruma huyo mwanaume, mara nyingi for women akigundua kuwa mwanaume anayempenda hamtaki (mwanamke ana bullshit) lakini mwanaume ataishia kuimba "siachani nawe" a.k.a kuwa barakah da prince wa mahusiano. hali hii hutokana na wanaume wengi kuwa na options chache katika dating world. Afadhali players na badboys hao ndo wanajua thamani yao katika mahusiano, especially badboys.
ALL BADBOYS ARE PLAYERS, BUT NOT ALL PLAYERS ARE BADBOYS, sisemi kuwa wanaume muwe ma players au bad boys ila mjaribu tu kuthamini na kuiheshimu thamani mliyo nayo katika ulimwengu wa mahusiano. Kubwa la maadui lara1 madame X asakuta same na wadau wengine ningependa mje mtie chachandu zenu katika hili.
Ni hayo tu
PART 1
Sio siri nkiangalia asilimia kubwa ya mahusiano yani wanaume ndo wanakuwa wananyonywa (wanachunwa) zaidi, like kwanini wanaume wawe ndo wao tu wa kutoa hela, kama wote mnapendana kweli na mna kipato ambacho ni more or less the same IWEJE mwanaume awe ni mtu wa kutoa tu halafu mara nyingi hela wanayohongwa wanawake hawaifanyii kitu cha maana zaidi ya saluni na kununua simu kali, hlf yani mpaka mwanamke akupe hela yake duuuh ni kazi.
Hata kwenye maandiko ya Biblia katika kitabu cha Mwanzo Mungu alimuumba mwanamke ili amsaidie mwanaume, sio kumnyonya (kumchuna) mwanaume kifedha, na wanawake wengi wana take advantage ya cultural stereotype kwamba mwanamke ni wa kupewa tu. Sasa mimi nashangaa wanaume wengi akishikwa kitambi tu laki moja imemtoka, lakini hajiulizi kama huyo mwanamke anayemshika kitambi anampenda au la (kwa kifupi wanaume wengi wanafikiria kwa kutumia genitals zao na sio ubongo).
PART 2
Utakuta mwanaume anamganda demu mpaka utamuonea huruma huyo mwanaume, mara nyingi for women akigundua kuwa mwanaume anayempenda hamtaki (mwanamke ana bullshit) lakini mwanaume ataishia kuimba "siachani nawe" a.k.a kuwa barakah da prince wa mahusiano. hali hii hutokana na wanaume wengi kuwa na options chache katika dating world. Afadhali players na badboys hao ndo wanajua thamani yao katika mahusiano, especially badboys.
ALL BADBOYS ARE PLAYERS, BUT NOT ALL PLAYERS ARE BADBOYS, sisemi kuwa wanaume muwe ma players au bad boys ila mjaribu tu kuthamini na kuiheshimu thamani mliyo nayo katika ulimwengu wa mahusiano. Kubwa la maadui lara1 madame X asakuta same na wadau wengine ningependa mje mtie chachandu zenu katika hili.
Ni hayo tu
Last edited by a moderator: