Red black
JF-Expert Member
- Nov 29, 2019
- 2,376
- 5,771
Habarini wanajf I hope mko gud.
Hakika pesa ni sabuni ya roho inakufanya unafeel good sana.
Alafu ukiwa na pesa sura inatakata kama unaogea maziwa.
For me nikiwa na pesa tu always nakuwa na furaha na amani katika nafsi yangu maana naweza kufanya chochote kwa wakati wowote na mahali popote.
Hakuna pesa inayonuka popote ulipo kama unapenda pesa na unazo.... hongera na tunza kibunda chako.
Wanaume wenzangu tuendelee kupambana ili kupata pesa za kutosha... account izidi kunona iwe na digit 8 na kuendelea.
Wapuuzeni wanawake wanaopenda pesa ni mashetani na chumaulete unakuta demu anapenda pesa zaidi ya wewe uliezitafuta.. ata kama kei zenu ni tamu lakini hapana..
Wanaume tuwe na nidhamu ya fedha.
Tufocus kwenye kibunda tu.
Asanteni
nawasilisha
Hakika pesa ni sabuni ya roho inakufanya unafeel good sana.
Alafu ukiwa na pesa sura inatakata kama unaogea maziwa.
For me nikiwa na pesa tu always nakuwa na furaha na amani katika nafsi yangu maana naweza kufanya chochote kwa wakati wowote na mahali popote.
Hakuna pesa inayonuka popote ulipo kama unapenda pesa na unazo.... hongera na tunza kibunda chako.
Wanaume wenzangu tuendelee kupambana ili kupata pesa za kutosha... account izidi kunona iwe na digit 8 na kuendelea.
Wapuuzeni wanawake wanaopenda pesa ni mashetani na chumaulete unakuta demu anapenda pesa zaidi ya wewe uliezitafuta.. ata kama kei zenu ni tamu lakini hapana..
Wanaume tuwe na nidhamu ya fedha.
Tufocus kwenye kibunda tu.
Asanteni
nawasilisha