Wanaume wanaojitambua bado wapo

Wanaume wanaojitambua bado wapo

waalimu wamekuwa mno wengi... na bahati mbaya wale waalimu walioshindwa ndio kwenye mahusiano yao binafsi; wana wanafunzi wengi na watiifu zaidi. wanataka waliokuta nayo kwenye mahusiano yao (watu wawili) yawe ni universal kwa wote. Na bahati mbaya zaidi tuna followers and believers wengi kupindukia. Thinkers wapo wachache.

Kwa minajili hio ukishakuwa na waalimu walioshindwa na ukawa na wanafunzi wengi (wafuasi na waumini---wasiochanganua mambo wanayoyoshauriwa/kuambiwa) tegemea kuwa na mahusiano mengi sana ambayo ni dhaifu dhaifu na misingi yao pia ni dhoofu sana.

Mapenzi yanapofusha fikra, na kwa kujua ukajiruhusu kupofuka... poteeni tu kama lile dege na mvurugwe kama lile bunge la vijembe.
 
wengi wao huogopa jamii itawaonaje wakiachana so mtu anaendelea kukaa kwenye uhusiano asioufurahia
 
NIMEKUWA NIKIKUTANA NA WANAUME AMBAO HAWANA HESHIMA KWA WANAWAKE HATA UMNYENYEKEE VIPI..NA SIO HIVO TU BORA BASI HATA KITANDANI AWE VIZURI HAJUI KITU,ILA DHARAU NA JEURI VIMEMJAA HANA HESHIMA KWA WANAWAKE..MARINGO UTADHANI MWANAMKE,UNAMTUMIA MSG HAJIBU,SIMU HAPOKEI,..MIMI NIKADHANI NDIO WANAUME TULIOBAKIWA NAO HUKU DUNIANI JAMANN KUMBE NILIKUWA NAJICHELEWESHA..NIMEMPATA MWANAUME ALIEKAMILIKA WA KIARABU TENA WA TANGA..MWANAUME ANAJUA NINI THAMANI YA MWANAMKE..JAPO SIJUI HATA SHILINGI KUMI YAKE LAKINI MAPENZI ANAYONIPA NA HESHIMA ALIYONAYO NIPO RADHI KWENDA NAE POPOTE,NA MWANAUME MWENYEWE HANA UMRI MKUBWA KIIVO LAKINI ANAJITAMBUA...USHAURI KWA WANAUME HUMU NDANI...PESA NI CHACHU TU KATIKA MAPENZI ..WANAWAKE TUNAPENDA KUWA LOVED,HANDLED AND CARED HAYO MENGINE NI YA ZIADA TU.SHIDA NI KWAMBA TUNAISHI KWA EXPERIENCE AMBAZO WATU WAMETUUMIZA SANA..USHAURI KWA AKINA DADA WENZANGU USING`ANG`ANIE KWA MTU AMBAE UNAJUA HAKUPI THAMANI YAKO WEWE KAMA MWANAMKE ,ACHANA NA HUYO MTU NA USONGE MBELE HADI UTAKAPOMPATA YULE AMBAE ATAKUJALI NA KUKUTHAMINI.wanaume kamili wapo achaneni na wanaume wasumbufu ambao wapo kuumiza tu watu hawajui duniani walikuja kwa lengo gani...ni ushauri tu ..epuka kuumizwa fanya maamuzi sahihi.asubuhi njema

Huwa amueleweki mnataka nini. Mwanaume akiwa na pesa mnamg'ang'ania hata kama ni mzee mnaishiwa kunyanyaswa. Mwanaume akikupenda halafu hana kitu utasikia ooo mwanaume suruali. Hata wewe baada ya mwezi utakuja kulalama hapa umepata mwanaume suruali.

Wanawake hamsomeki.
 
Nimekuwa nikikutana na wanaume ambao hawana heshima kwa wanawake hata umnyenyekee vipi..

na sio hivo tu bora basi hata kitandani awe vizuri hajui kitu,

Ila dharau na jeuri vimemjaa hana heshima kwa wanawake..

Maringo utadhani mwanamke,unamtumia msg hajibu,simu hapokei,..mimi nikadhani ndio wanaume tuliobakiwa nao huku duniani jamani kumbe nilikuwa najichelewesha..nimempata mwanaume aliekamilika wa kiarabu tena wa tanga..

Mwanaume anajua nini thamani ya mwanamke..japo sijui hata shilingi kumi yake lakini mapenzi anayonipa na heshima aliyonayo nipo radhi kwenda nae popote,na mwanaume mwenyewe hana umri mkubwa kiivo lakini anajitambua...

Ushauri kwa wanaume humu ndani...pesa ni chachu tu katika mapenzi ..

Wanawake tunapenda kuwa loved,handled and cared hayo mengine ni ya ziada tu.

Shida ni kwamba tunaishi kwa experience ambazo watu wametuumiza sana..

Ushauri kwa akina dada wenzangu using`ang`anie kwa mtu ambae unajua hakupi thamani yako wewe kama mwanamke ,achana na huyo mtu na usonge mbele hadi utakapompata yule ambae atakujali na kukuthamini.

wanaume kamili wapo achaneni na wanaume wasumbufu ambao wapo kuumiza tu watu hawajui duniani walikuja kwa lengo gani...ni ushauri tu ..epuka kuumizwa fanya maamuzi sahihi.

Asubuhi njema
Kumbe mwawataka waarabu? ee !
 
Kumbe mwawataka waarabu? ee !


tunataka watu ambao ni wanaume tena wanaojitambua kuwa ni wanaume...binafsi mwanaume ambae hajitambue na kujua nafasi yake huwa naona kama analazimisha kuwa nafasi ya mdada ni kama hakuridhika kuzaliwa mwanaume vile!!!sasa wewe unaringa...huo ni uanaume kweli jamann??

issue sio utaifa ni kujitambua..personality baba
 
hakuna kitu ulichoandika hapo, hua nasema siku zote, ukiona mwanamke analalamika hapati wanaume safi tatizo hua liko kwake, mwanamke ovyo lazima upate wanaume ovyo maana unajiweka na wewe kwenye mazingira ya watu ovyo.. mwanamke safi hajichanganyi na watu wa ovyo atapataje mwnaume wa ovyo... we ovyo unapata wanaume ovyo unalalamika si wazuri kitandani, hadi hapo unatuonyesha kua ulikutana na majamaa wengi ukawafunulia ukajua hawako vizuri on bed, unajuaje ka wako vzr au vby? unajua mzuri on bed anatakiwa afanyeje? how did u know? na kusema uliokutana nao inamaana ni wengi, na kujudge inamaanisha sample space yako ni kubwa, sasa ukiitwa mapepe utalaumu? maana umegawa sana, ndo maana nasema ni we ni wa ovyo, wanawake wanaojiheshimu hawagawi ovyo ovyo, yani umejua msela wa ovyo afu bado ukamfunulia kukagua kama anaweza game ukakuta napo ovyo.. we ovyo sana we mwanamke
 
Nimekuwa nikikutana na wanaume ambao hawana heshima kwa wanawake hata umnyenyekee vipi..

na sio hivo tu bora basi hata kitandani awe vizuri hajui kitu,

Ila dharau na jeuri vimemjaa hana heshima kwa wanawake..

Maringo utadhani mwanamke,unamtumia msg hajibu,simu hapokei,..mimi nikadhani ndio wanaume tuliobakiwa nao huku duniani jamani kumbe nilikuwa najichelewesha..nimempata mwanaume aliekamilika wa kiarabu tena wa tanga..

Mwanaume anajua nini thamani ya mwanamke..japo sijui hata shilingi kumi yake lakini mapenzi anayonipa na heshima aliyonayo nipo radhi kwenda nae popote,na mwanaume mwenyewe hana umri mkubwa kiivo lakini anajitambua...

Ushauri kwa wanaume humu ndani...pesa ni chachu tu katika mapenzi ..

Wanawake tunapenda kuwa loved,handled and cared hayo mengine ni ya ziada tu.

Shida ni kwamba tunaishi kwa experience ambazo watu wametuumiza sana..

Ushauri kwa akina dada wenzangu using`ang`anie kwa mtu ambae unajua hakupi thamani yako wewe kama mwanamke ,achana na huyo mtu na usonge mbele hadi utakapompata yule ambae atakujali na kukuthamini.

wanaume kamili wapo achaneni na wanaume wasumbufu ambao wapo kuumiza tu watu hawajui duniani walikuja kwa lengo gani...ni ushauri tu ..epuka kuumizwa fanya maamuzi sahihi.

Asubuhi njema

naona lara 1 my future wife kawafunguwa wengi humu mnaanza kujitambuwa sasa na kujuwa ni nini mnachohitaji.

Kongosho sijakusoma vizuri bado, when was ur last time to have a sex?
 
Last edited by a moderator:
Mmh mwarabu?? Haya hongera mwaya uombe asijebadilika ,hivi viumbe hivi!! Basi tu!!
 
hakuna kitu ulichoandika hapo, hua nasema siku zote, ukiona mwanamke analalamika hapati wanaume safi tatizo hua liko kwake, mwanamke ovyo lazima upate wanaume ovyo maana unajiweka na wewe kwenye mazingira ya watu ovyo.. mwanamke safi hajichanganyi na watu wa ovyo atapataje mwnaume wa ovyo... we ovyo unapata wanaume ovyo unalalamika si wazuri kitandani, hadi hapo unatuonyesha kua ulikutana na majamaa wengi ukawafunulia ukajua hawako vizuri on bed, unajuaje ka wako vzr au vby? unajua mzuri on bed anatakiwa afanyeje? how did u know? na kusema uliokutana nao inamaana ni wengi, na kujudge inamaanisha sample space yako ni kubwa, sasa ukiitwa mapepe utalaumu? maana umegawa sana, ndo maana nasema ni we ni wa ovyo, wanawake wanaojiheshimu hawagawi ovyo ovyo, yani umejua msela wa ovyo afu bado ukamfunulia kukagua kama anaweza game ukakuta napo ovyo.. we ovyo sana we mwanamke


ndio nyie nyie tunaowasema..utawajua tu.....
 
Mwarabu?, nahisi kakuonjesha extreme za tigo ukaona dunia yote ndo hiyo.

Usitukane wakunga......
 
Sijasoma wala, anaongelea nini?

Uandishi ni jambo muhimu sana kwenye kufikisha ujumbe. Nimegundua kuna wengine walikuwa wanafeli si kwa sababu hawana point, ila mpangilio mbovu.

Nimeona tu miherufi mikubwa ikani-turn off kabisa.

Update: Nimesoma baada ya kuona umebadili mwandiko walau na aya umeweka, hivyo sasa unatuvutia wasomaji. Kuandika kwa herufi kubwa inaonyesha unapiga makelele (ul'ihamka)engine hatupendi kuhamkilwa.

inaonekana ujumbe umekufikia vizuri na utajirekebisha.

Ujumbe umefuta makosa yote!
 
Ha ha ha, amerekebisha, kumbe kelele zangu zinasaidia.

Afu huyu Lara 1 kakufanyaje? Naona umefika bei kabisa.

naona lara 1 my future wife kawafunguwa wengi humu mnaanza kujitambuwa sasa na kujuwa ni nini mnachohitaji.

Kongosho sijakusoma vizuri bado, when was ur last time to have a sex?
 
Hahahahaaaaa...hongera kwa kupata Mwarabu wa Tanga, sisi Warabu wa Oman tutakutana na kujaribu kuiga....
 
Back
Top Bottom